hata marais wengine wanamshangaa huyu askari kwa maana hana suti na anahangaika tu! Hiyo ni kuthibitisha kwamba mkwele hayupo madarakani kihalali, anajilinda hata pasipotakiwa kufanya hivyo!
Rais Jakaya Kikwete akifurahia jambo na Rais Mstaafu wa Ghana Mheshimiwa Jerry Rawlings wakati wa kikao cha Marais na Wakuu wa Nchi za Jumuia ya Afrika kinachofanyika Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 30.1.2011.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.