malkiamrembo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 386
- 231
Habari zenu wananzengo, kama unauza ipad used iwe na hali nzuri tafadhari waailiana na mtu anahitaji kwa udi na uvumba, iwe na hali nzuri saaaana ikiwa na inatumia line itapendeza sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app