Invitation to all JF members: Debate!


Ili tujifunze kutokana na mazuri na mabaya yake, ndio histori ilivyo bi dada
 
tunaruhusiwa ke declear interes hapa, yaani nani atakua upande wa nani? Mi ntakua upande wa Zomba
 
Huu mjadala utakuwa very interesting,nina uhakika Zomba atatoka nje ya mada na anaweza kumrudisha Matola kifungoni right away,let's wait and see.ila usipoharibika utakuwa mjadala mzuri,nasubiri sana kuona Zomba ataitetea vipi hii kitu.
 
Huu mjadala utakuwa very interesting,nina uhakika Zomba atatoka nje ya mada na anaweza kumrudisha Matola kifungoni right away,let's wait and see.ila usipoharibika utakuwa mjadala mzuri,nasubiri sana kuona Zomba ataitetea vipi hii kitu.
inapokuja ishu ya Kikwete, Zomba hua namuaminia sana!
 
Nadhani hii thread + hiyo ya debate should be closely moderated. Naona watu wameanza kuchanganya na mambo ya ajabu. Ndoa ya Dr Slaa na hii thread wapi na wapi?
 
Nadhani kuna haja pia ya ku block post za wachangiaji wengine wakati maswali na majibu yanaendelea ili tusipoteze flow ya maswali na majibu hadi mjadala utakapomalizika ndipo post flow zingine ziruhusiwe kwa wanaotaka kuchangia kulingana na maswali na majibu yaliyotolewa. Pia kama kutakuwa na uwezekano wa auto page refresh itatusaidia sana kuepuka manually page refreshing ili kupata updates.
 
Roulette, msemakweli mpenzi wa Mungu. Mimi sitachangia kitu, nitapigwa ban bureee kwa pumba za akina Rejeo, Ritz na Zomba mwenyewe. Im short tempered.:israel:
 
Ingekuwa vyema kama nakala hiyo angepewa baada ya maoni kuchambuliwa na kuandaliwa kwa ufasaha...Lakini swali linakuja, ni nani amabaye atapeleka nakala ya hii debate kwa mheshimiwa presda?
Zomba ampelekee si ndio mpambe wake!
 
Roulette, msemakweli mpenzi wa Mungu. Mimi sitachangia kitu, nitapigwa ban bureee kwa pumba za akina Rejeo, Ritz na Zomba mwenyewe. Im short tempered.:israel:
Hata mimi sidhani kama nitachangia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…