Invisible nakukumbusha

Preta naona sijui huyo binti kaficha nini huko hebu mwambie ajaribu ku-stretch miguu yake tuone itakuwaje:smile-big::bowl::bowl:

unataka kuona vitu vilivyopo eeeeh.....naogopa kumwambia inviii akisikia ataban yeye
 
We're working on something NEW na si ile ya zamani!

Nakumbuka SANA zaidi ya mnavyofikiria; na vitu vizuri tukivitoa kwa kukurupuka tutaharibu.

Akiapishwa rasmi Mhe. Lipumba kama rais wa Tz hiyo kesho basi tutahakikisha kila kitu kinaenda sawa. Au tuilete mpya kwa namna ilivyo mtavumilia bugs ndogondogo?

tahnks mkuu.....tutavuta subra ya kusubiri....we tengeneza kabisa bugs waishilie kule
 
Mkuu ulituahidi kuwa utarudisha chat room alhamis.....nilikumbuka lakini nikajua utakua unamalizia malizia kuirekebisha.....na pia shughuli za uchaguzi zimepungua kidogo.....na week end ndio hii lazima tuwasiliane kupitia chat rum.....pleeeeeez
Hasa mimi ukizingatia tuna mihadi!
 
We're working on something NEW na si ile ya zamani!

Nakumbuka SANA zaidi ya mnavyofikiria; na vitu vizuri tukivitoa kwa kukurupuka tutaharibu.

Akiapishwa rasmi Mhe. Lipumba kama rais wa Tz hiyo kesho basi tutahakikisha kila kitu kinaenda sawa. Au tuilete mpya kwa namna ilivyo mtavumilia bugs ndogondogo?

Bila shaka ina maana hatutaipata hiyo huduma - joking
 
We ikawaje jana tumekusubiri pale JJ hukutia timu?

Nilikuwa Calabash namsubiri Preta....Komredi Fidel hakuwaambia? Sasa kwa vile Preta hakutokea basi nikajivinjari na Diana (samahani Teamo...kuanzia sasa inabidi heshima iwe mbele kama shem lol)
 
Back
Top Bottom