We're working on something NEW na si ile ya zamani!
Nakumbuka SANA zaidi ya mnavyofikiria; na vitu vizuri tukivitoa kwa kukurupuka tutaharibu.
Akiapishwa rasmi Mhe. Lipumba kama rais wa Tz hiyo kesho basi tutahakikisha kila kitu kinaenda sawa. Au tuilete mpya kwa namna ilivyo mtavumilia bugs ndogondogo?
kweli?
basi njoo calabash
basi njoo calabash
Hasa mimi ukizingatia tuna mihadi!Mkuu ulituahidi kuwa utarudisha chat room alhamis.....nilikumbuka lakini nikajua utakua unamalizia malizia kuirekebisha.....na pia shughuli za uchaguzi zimepungua kidogo.....na week end ndio hii lazima tuwasiliane kupitia chat rum.....pleeeeeez
Wewe ndo uliishtukia hiyo hahahahaUapisho wa Lipumba tena????????????????????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
We're working on something NEW na si ile ya zamani!
Nakumbuka SANA zaidi ya mnavyofikiria; na vitu vizuri tukivitoa kwa kukurupuka tutaharibu.
Akiapishwa rasmi Mhe. Lipumba kama rais wa Tz hiyo kesho basi tutahakikisha kila kitu kinaenda sawa. Au tuilete mpya kwa namna ilivyo mtavumilia bugs ndogondogo?
@ NN nipo na Preta hapa counter tumevaa top za njano wote, wewe umevaaje
Nimevalia suruali tumboni kaa pedejeee....nawaona. Njooni basi hapa kona
We ikawaje jana tumekusubiri pale JJ hukutia timu?