Una shida wewe na kiswahili chako heeeeeh.nafikili = nafikiri
Ukitaka kujua uwepo wa invisible mPM...hapa hajitokezi maana atakuwa visible
Una shida wewe na kiswahili chako heeeeeh.
Nipo njianikufuatilia ukweli wa habari hiyo lakini yule jombaa atapata taabu sana kwa sababu yeye hyaupo kuwatumikia wananchi bali mabwana zake hicho kinachomponza.mwenzangu...!!. mkuu mambo vipi?. habari za huko kanda ya kaskazini? mumeamua kumwagia watu maji kabisa?.poleni sana mkuu. mia
Nipo njianikufuatilia ukweli wa habari hiyo lakini yule jombaa atapata taabu sana kwa sababu yeye hyaupo kuwatumikia wananchi bali mabwana zake hicho kinachomponza.
likizo yake ngumu sana...kuwa off keyboard ni mateso!Nadhani hata u-MOD una likizo kama kazi nyingine.
Figaniga nitakujuza pasipo na chenga.hadi mwaka huu kuisha atakuwa amenyoka.ukiupata ukweli niambiae mimi kwanza mkuu. mi natamani nikimuona nmpige na kiatu cha 4angle. mia
Figaniga nitakujuza pasipo na chenga.
hivi invisible ni mwanamke au ni mkaka?
Teh teh Graet thinkers at work.........
hivi invisible ni mwanamke au ni mkaka?
hivi invisible ni mwanamke au ni mkaka?
nafikili = nafikiri
napita njia.
huyu jamaa kakaa sana kimya...siyo kawaida yake!
Aliyemshika kamshika kikweli!
Si ungem-PM tu?