valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 869
Inategemea mood yake.
una utani na watu, yani jinsia yake inabadilika kuenda na mood.
Inategemea mood yake.
una utani na watu, yani jinsia yake inabadilika kuenda na mood.
Huwa tunasema, kamshika pabaya
lengo lake ni kila mtu aone ujumbe alomtumia.
mmh! na mipasho unaiweza!!! lol!!ukitakaa uishi kwa amani na furaha hapa jf usijaribu kuingia anga zangu. ntakuharibia siku bule. na nlishakuonya usicomment kwenye uzi wangu kwa sababu wewe ni bibi kizee ambaye hujiheshimu. nakupa onyo tena,UNIKOME.Kukosea ni haki ya kila binadamu kwanini ujifanye kujua.naachoa alekuwesa ifokisewa?nakuomba tena fanya mambo yako.bila shaka umenisoma. mia
mmh! na mipasho unaiweza!!! lol!!
Aisee we jamaa kiboko, halafu invizibo mpaka saa hii hajajibu salamu wala maswali uliyomuuliza... Ishu ya kosta labda ni kale kamradi kuuza u premium memba kamemsaidia kuzinunua..!
Mkuu mbona umeadimika.watumia id ipi?. miarrHahaaa haaaa mkuuu Mia. unanivunja mbavu hizo salamu kama enzi za RTD radio Tanzania Dsm,
figganigga huyu Ezan mods wameshamvuruga hizi ID hizi Ezan bwanahahahaaaa...!! Ezan bana.maneno machache lakini yana "M" zinazozidi maneno yenyewe. mia
ukitakaa uishi kwa amani na furaha hapa jf usijaribu kuingia anga zangu. ntakuharibia siku bule. na nlishakuonya usicomment kwenye uzi wangu kwa sababu wewe ni bibi kizee ambaye hujiheshimu.
nakupa onyo tena,
UNIKOME.
Kukosea ni haki ya kila binadamu kwanini ujifanye kujua.
naachoa alekuwesa ifokisewa?
nakuomba tena fanya mambo yako.bila shaka umenisoma. mia
Kwahiyo sasa hivi anatumia id gani? niambie herufi ya kwanza tu ntamjua ni nani. Miafigganigga huyu Ezan mods wameshamvuruga hizi ID hizi Ezan bwana
Mkuu umekosea sana. Id zako wataziunganisha sasa hivi. MiaUnafaa kubigwa BAN wewe. Kukosea ukosee wewe hasira umalizie kwa ff????
Kwahiyo sasa hivi anatumia id gani? niambie herufi ya kwanza tu ntamjua ni nani. Mia
Hapo juu wamempamba mvaa ndege naniga tai hata kama sivai taiii
Ongeza neno lingine moja ntakua nshajua. Nataka kumjua. Mia
Mvaa +aina ya ndege anaekula mizoga