Intuition inaniambia simba inatinga nusu

Intuition inaniambia simba inatinga nusu

Hapana mkuu, najua simba kwa alahly ni ngum kuchomoa... ila kila nikikaa kidogo tu mawazo ya simba kushinda hayoo kichwani...
Siku ile kwa Mkapa wangetoa hata draw tu, kulikuwa na % fulani za kuvuka daraja.... Ila mhm..
 
Ni ngumu sana kutokea hyo...hapo unabahatisha tu na umeweka ka kizungu kidogo ili ikae kisomi zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom