Leo nna furaha sana ku-release hii software ambayo nimeifanyia kazi kwa muda mrefu sasa. A|CSEE Professional ni toleo namba 3.0 ila hii ni Professional Edition kwani ina features nyingi sana zaidi ya 30 ambazo hazikuwepo kabisa katika matoleo ya nyuma.
A|CSEE Professional ni program ya kompyuta inayofanya kazi ya kutafuta, kupanga, na kuhifandhi matokeo ya CSEE (O'Level) na ACSEE (A'Level). Program inatafuta matokeo kwa haraka na usahihi kadri unavyo-type kwenye keyboard. Lengo la program hii ni kurahisisha kazi inayofanywa na waalimu kutafuta na kupanga matokeo ya wanafunzi wao wakati wanafunzi wanayasubiri kwa hamu.
Download: Click the link below to download
DOWNLOAD NOW
System Requirements
*Windows Installer 4.0
*.NET Framework 3.5
*1024*768 Screen Resolution
*Click here for full list
Thanks to C6 kwa PSD ya splash screen
Wadau mawazo yenu ni ya muhimu sana kuboresha program hii, kama utaona bug yoyote tafadhali naomba uniambie ili nirekebishe.
UPDATE: Version 3.1 Itakuja muda si mrefu
UPDATE: Maoni, manunuzi, na masuala yote yanayohusu program hii yawasilishwe kupitia tovuti yetu ambayo ni www.shulemax.co.tz au simu 0757449054
A|CSEE Professional ni program ya kompyuta inayofanya kazi ya kutafuta, kupanga, na kuhifandhi matokeo ya CSEE (O'Level) na ACSEE (A'Level). Program inatafuta matokeo kwa haraka na usahihi kadri unavyo-type kwenye keyboard. Lengo la program hii ni kurahisisha kazi inayofanywa na waalimu kutafuta na kupanga matokeo ya wanafunzi wao wakati wanafunzi wanayasubiri kwa hamu.
Download: Click the link below to download
DOWNLOAD NOW
System Requirements
*Windows Installer 4.0
*.NET Framework 3.5
*1024*768 Screen Resolution
*Click here for full list
Thanks to C6 kwa PSD ya splash screen
Wadau mawazo yenu ni ya muhimu sana kuboresha program hii, kama utaona bug yoyote tafadhali naomba uniambie ili nirekebishe.
UPDATE: Version 3.1 Itakuja muda si mrefu
UPDATE: Maoni, manunuzi, na masuala yote yanayohusu program hii yawasilishwe kupitia tovuti yetu ambayo ni www.shulemax.co.tz au simu 0757449054
Last edited by a moderator: