Introducing A|CSEE Professional –“A Spreadsheet”

Introducing A|CSEE Professional –“A Spreadsheet”

nakubali kwenye excel utaweza kupata total na average lakini sio division. kwa kutumia hii software yangu unapata division, points, total na average automatically na accurately. pia Kang kumbuka hii software yangu ina uwezo wa ku-interpreti marks kama zikiwa katika namba(0-100) au grades za kawaida (A-F). pia inacontrol penalty na kudetect invalid inputs pamoja na vitu vingine vingi tu. naomba angalau udownload halafu unipe feedback

Excel ina uwezo wa ku-interpret namba na maandishi A-F kwa kutumia IF statements, sikumbuki div 3 na 4 na fail zinaanza point ngapi ila ntajitahidi kufyatua sample. Nimedownload ila hii Admin Privileged inanipa mashaka kidogo.
 
Excel ina uwezo wa ku-interpret namba na maandishi A-F kwa kutumia IF statements, sikumbuki div 3 na 4 na fail zinaanza point ngapi ila ntajitahidi kufyatua sample. Nimedownload ila hii Admin Privileged inanipa mashaka kidogo.

nasubiri hiyo sample. lakini kiukweli inabidi ukubaliane na mm kuwa ni process ambayo itakuwa ni ngumu au inaweza isiwezekane kenywe excel hasa kwa mtumiaji wa kawaida anayejua tu kuclick na kusave. pia kuna mambo mengi ambayo yanahitaji instruction za ukweli mfano. kwa hawa wanafunzi wa o'level huwa matokeo yao yanapatikana kwa kuchukua masomo yao saba waliyo faulu sasa kwenye excel utafanya vipi kudecide kwamba hizi ndiyo best score... na mengine mengi sana ambayo hayawezekani.

kuhusu admin privilege wala usiwe na shaka manake digital signatures zinagharama mno.

Captureuac.PNG

ila nnayo signature yangu ambayo sijaiinclude kwenye executable maana Root Certificate yake bado inamatatizo.

Captureuac2.PNG
 
Hongera kwa hatua uliyofikia... ngoja niidownload kisha taleta feedback
 
nasubiri hiyo sample. lakini kiukweli inabidi ukubaliane na mm kuwa ni process ambayo itakuwa ni ngumu au inaweza isiwezekane kenywe excel hasa kwa mtumiaji wa kawaida anayejua tu kuclick na kusave. pia kuna mambo mengi ambayo yanahitaji instruction za ukweli mfano. kwa hawa wanafunzi wa o'level huwa matokeo yao yanapatikana kwa kuchukua masomo yao saba waliyo faulu sasa kwenye excel utafanya vipi kudecide kwamba hizi ndiyo best score... na mengine mengi sana ambayo hayawezekani.

kuhusu admin privilege wala usiwe na shaka manake digital signatures zinagharama mno.

View attachment 83023

ila nnayo signature yangu ambayo sijaiinclude kwenye executable maana Root Certificate yake bado inamatatizo.

View attachment 83024

Yote hayo yanaeezekana excel kwa sababu ina full programming environment, checking VBA. Of coz ni ngumu kwa mtumiaji was kawaida kuitengeneza hiyo spreadsheet idea yangu ilikuwa ni spreadsheet isambazwe kwa watumiaji ikiwa tayari. Sina wasiwasi na signing, ila ni kwa nini inahitaji hiyo Admin rights program yako? Nitainstall kwenye VM nitesti
 
Yote hayo yanaeezekana excel kwa sababu ina full programming environment, checking VBA. Of coz ni ngumu kwa mtumiaji was kawaida kuitengeneza hiyo spreadsheet idea yangu ilikuwa ni spreadsheet isambazwe kwa watumiaji ikiwa tayari. Sina wasiwasi na signing, ila ni kwa nini inahitaji hiyo Admin rights program yako? Nitainstall kwenye VM nitesti

inahitaji rights kwa sababu inahitaji ku-access special folders kama Program Files, pia kila program inaporun huwa inaandika, inarekebisha na kufuta Registry entries zake ili ifanye kazi vizuri. Utaombwa Admin rights unapofanya setup na unapotaka kuupdate software tu. ila unaporun kawaida inarun as Invoker na haitaomba admin rights. Kang kwa nini unatainstall kwenye Virtual Machine?
 
Last edited by a moderator:
Kwenye kibox cha sex labda ungeweka ikubali F/M tofauti sasa mtu anaweza andika neno lolote ikakubali
but congratulation mkuu, na kingine je unaweza weka i arrange wa kwanza na wa mwisho kwa kufuata marks walizopata.
 
Kwenye kibox cha sex labda ungeweka ikubali F/M tofauti sasa mtu anaweza andika neno lolote ikakubali
but congratulation mkuu, na kingine je unaweza weka i arrange wa kwanza na wa mwisho kwa kufuata marks walizopata.

mhhh wazo zuri. kwenye matoleo ya nyuma sex nlikuwa inaweza kuwa F au M tu ila toleo hili nliitoa ila ntaiweka tena pamoja na option ya kudisable. kuhusu ku sort na yenyewe ntaifanyia kazi. asante sana kwa mawazo yako.
 
mwanangu bigup sana, umeonyesha wa bongo kuwa tunaweza. Ngojea nitaitest halafu nitaleta feedback
 
Naona ingekuwa vizuri kama ile auto division calculator ingekuwa inafanya kazi na mouse sio tu na zile arrows. kwa mfano nikiingiza result zangu then nikaedit kisha nikaclick cell ya pembeni bila kubonyeza arrows huwa haiupdate division mpaka niponyeze arrows ndio ina change division
 
hivi civics haina penalt sikuizi maana sijaona penalt kwenye civics!
 
Naona ingekuwa vizuri kama ile auto division calculator ingekuwa inafanya kazi na mouse sio tu na zile arrows. kwa mfano nikiingiza result zangu then nikaedit kisha nikaclick cell ya pembeni bila kubonyeza arrows huwa haiupdate division mpaka niponyeze arrows ndio ina change division

mhhh mimi niliona kutumia keyboard arrows pamoja na Enter ndiyo njia rahisi kuliko kutumia mouse. Ok. Asante kwa mchango wako ntaweka hiyo kitu soon.
 
hivi civics haina penalt sikuizi maana sijaona penalt kwenye civics!

kwenye Settings sehemu ya penalty kuna Maths, Civics, English & Kiswahili ila nlipata wasiwasi na sikuwa na uhakika kama masomo tofauti na hesabu yana penalty ndo maana nka-disable penati kwenye hayo masomo, nikipata uhakika ntayawezesha. asante xana deojames
 
Last edited by a moderator:
Excel ina uwezo wa ku-interpret namba na maandishi A-F kwa kutumia IF statements, sikumbuki div 3 na 4 na fail zinaanza point ngapi ila ntajitahidi kufyatua sample. Nimedownload ila hii Admin Privileged inanipa mashaka kidogo.

kuongezea hapo kwenye admin privilege huwa nna penda kusubmit software zangu Softpedia na hapo huwa zina pimwa na wataalamu kuhakikisha kwamba haziwezi kumuathiri mtumiaji kwa kupitia malware za aina yoyote ile hata hii nimeshaisubmit na certification yake ipo hapa: http://www.softpedia.com/progClean/A-CSEE-Professional-Clean-230255.html

na page yake ni hii: Download A|CSEE Professional 3.0 Free Trial - Division Calculator for CSEE and ACSEE - Softpedia
 
Hongera sana kaka!
Its good to see us moving! God Bless Tanzania, God Bless Tanzanians:A S 100:
 
inahitaji rights kwa sababu inahitaji ku-access special folders kama Program Files,
Installer pekee inapaswa idai admin rights na maybe updater kama itaandika mafaili katika PF folder. Kama issue ni kuandika na kusoma data, kuna data folders kwa kila program ambazo ni unprotected na hauhitaji admin rights. Program Files si kwa ajili ya data files but "program files"

Cf. Where Can I Find Application Data folders in Windows 7? - Microsoft Community

pia kila program inaporun huwa inaandika, inarekebisha na kufuta Registry entries zake ili ifanye kazi vizuri.
Angalia isiwe ikawa unaandika ktk shared registry. Hauhitaji Admin rights kuandika ktk program yako
Cf. windows - Changing registry without admin rights - Stack Overflow

Utaombwa Admin rights unapofanya setup na unapotaka kuupdate software tu. ila unaporun kawaida inarun as Invoker na haitaomba admin rights. Kang kwa nini unatainstall kwenye Virtual Machine?
Nadhani Admin rights zibaki katika Installer na Updater. That is standard and adds value to usability!

BH
 
Kwenye kibox cha sex labda ungeweka ikubali F/M tofauti sasa mtu anaweza andika neno lolote ikakubali
but congratulation mkuu, na kingine je unaweza weka i arrange wa kwanza na wa mwisho kwa kufuata marks walizopata.
neno sex halijakaa vizuri sana, limekaa kingono, badala yake nyasiro angetumia neno GENDER au vipi?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom