B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,572
- 3,251
Hapaa bado najifikiria kwenda au kutoenda ilaa naona kabisa natusua walaaaah.watu 58
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Kwa ss tulipofikia kawaida sana,japo inakatisha tamaa.🤔watu 400 anatafutwa mmoja daaa
Mtanange gani babe😀😀Kweli mtanange ni mkali
Yatatokea ya Duce! Raia 100000Mtanange gani babe😀😀
Yaani hizi ajira hizi 😄🙌Yatatokea ya Duce! Raia 100000
Hapaa bado najifikiria kwenda au kutoenda ilaa naona kabisa natusua walaaaah.watu 58
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Shida ni pale unasikia waliohudhuria hiko kinyang'anyiro ni raia 60,000Hapaa bado najifikiria kwenda au kutoenda ilaa naona kabisa natusua walaaaah.watu 58
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Ilikuwa 2019 hiyo...ilifanyikia Kijitonyama, Mwanaume nilitoboa, Hesabu najua, computer hapa ndio nyumbani, nadhani nilipata 100.... Sijawahi fail aptitude aiseeKwenye test ya mwaka jana
waliita interview kama sijakosea watu 1800
Akijibu naomba unitag mkuu😀😀Kwaio ulipata kazi
Walikuita interview ya pili?Ilikuwa 2019 hiyo...ilifanyikia Kijitonyama, Mwanaume nilitoboa, Hesabu najua, computer hapa ndio nyumbani, nadhani nilipata 100.... Sijawahi fail aptitude aisee
Kapotelea wapi? Au labda bado anabalansisha hesabu ya kufunga sikuAkijibu naomba unitag mkuu😀😀
Yes ngoja tumsubiri kidogoKapotelea wapi? Au labda bado anabalansisha hesabu ya kufunga siku