Interview NSSF: Maswali 100 dakika 135


Unakemea waliotukana kwa kutukana.

Kazi ipo.
 
Maswali gani ya math?

Wanakuuliza kuhusu a non Perelman solution to Poincare's Conjecture?
Mkuu Kiranga swali kama hilo hapo chini unaweza kulifanya kwa dakika moja?, na kama unavyosema ukiona swali gumu liache utaacha mangapi kwa sababu kila linalofuata ni afadhali lililopita.
Kama lengo ni kuangalia speed but not reasoning capacity watakuwa wamefanikiwa kupata ma PS personal secretaries(short hand) na kuaacha candidate wazuri wenye uwezo wa kufikiri.
 

Ukweli ni kwamba HAUJATUMIA dk moja, kabla ya kujibu kuna sekunde kadhaa za kulisoma na kulifikiria swali tena na tena kulielewa vizuri.
 

Sasa hiyo si simultaneous equation ya form one, au unataka mpaka uandaliwe iwekwe kwenye simultaneous equation form?

Alternatively unaweza kuisolve kwa kuangalia tu 30A = 40 B =60C.

Hapo ndipo unapotakiwa kujua swali lipi linatumia muda zaidi ya inavyopaswa. Ukifanya nusu na kupata 90% sawa kitakachoangaliwa ni 90% yako kuliko aliyefanya yote na kupata 10% sawa.

Some of the questions and especially the timing, can be iveraggressive for reasons that do nig add value. But its their firm.
 
Last edited by a moderator:
Nimeipenda saana ile test, ukifaulu pale ni akili yako bana, yaani wale jamaa wanasimamia hakuna hata nafasi ya kuongea na mtu, atakayepita pale ndo alikuwa anastaili kupata kazi, IFM wanasimamia balaaa, duuuh

Sawa, ila usije shangaa kuwa kuna watu walikuwa wanakamilisha ratiba, hiyo test walikuwa nayo na wameshaisolve mpaka kuikariri.
 
Mpaka uone maswali ndio utajibu,walioona wanapiga 100 na hapo ndio wale kamlete wanapopita na marks za juu,wenzangu na mimi john kisomo notes mkeka imekula kwenu.
 
Kiranga kwa nini uandikie mate fanya hilo swali nakupa masaa mawili hadi saa 5 utupe jibu.

Ullivyofanya ndivyo sivyo kumbuka C anawasaidia A na B kila baada ya masaa matatu kwa muda wa saa 3 kila wakati.

Swali hili unatakiwa kutumia formula nyingi sana sio simultaneous equation tu kuna sequence & series ndani, kuna ratio ndani kuna KDS ndani kuna hours conversion ndani kuna mambo ya percentage ndani, yote hayo uyafanye ndani ya dk 1.
 

Naunga mkono hoja.
 
cha kwanza nimegoogle hiyo aptitude test nakuelewa ni nini and what is expected from you.tena kuna mifano mingi ya maswali mpaka hilo lako linalohitaji numerical reasoning.na basically hawaangalii umemaliza mangapi but rather how did you reach to the answer compared to your fellow watahiniwa.tuwe tunajiandaa jamani,the internet is your friend.
 
Kiranga kwa nini uandikie mate fanya hilo swali nakupa masaa mawili hadi saa 5 utupe jibu.

Ullivyofanya ndivyo sivyo kumbuka C anawasaidia A na B kila baada ya masaa matatu kwa muda wa saa 3 kila wakati.

Im afraid even if I was sympathetic to your plight , you wouldn't discern.

Unanipa masaa mawili hadi saa tano saa tano za wapi na watu tupo mtandaoni hapa?
 

Asante, watu kama wewe ndo wanatakiwa, sio kuponda!
 
We we Bonge la kilaza unapenda mterermko sana hiyo ndiyo soko la ajira tz ;;;; nenda rz1 akupe Viti maalum huko hakuna interview;;; utalalamika sana"""" au div 5
 
Im afraid even if I was sympathetic to your plight , you wouldn't discern.

Unanipa masaa mawili hadi saa tano saa tano za wapi na watu tupo mtandaoni hapa?

Huyu mleta mada ni kilaza sijapata kuona...anatia huruma
 
kwani wanataka upate marks ngapi ndio uitwe oral????? 30 au 50+
 
Huyu mleta mada ni kilaza sijapata kuona...anatia huruma

Swali hili ni la kutafuta average ya 30, 40 na 60. Hata simultaneous equation nililipandisha.

Either that or limekosewa kuulizwa hapa.

C akishawasaidia A na B kwa masaa matatu, yakiishabhayo masaa matatu anafanya nini? Anaendelea kuwasaidia kwa masaa matagu mengine au anapumzika? Kwa muda gani?
 
Ndugu interview za namna hiyo next time usikimbilie kumaliza maswali,suala ni kufanya maswali kwa uhakika.Hata kama hukumaliza ukapata maswali 45 kati ya 50 uliyofanya uko kwenye nafasi nzuri kuliko yule aliyefanya maswali yote 100 halafu akapata 60.Mtihani huo ulikuwa ni wa kukupima je,ukiwa ofisini na kazi ni nyingi zimekuelemea na muda hautoshi utafanya nini?je,utafanya zote kwa kulipua ilimradi ziishe au utafanya zilizo ndani ya uwezo wako lakini kwa ufanisi??????Nadhani kwa maelezo haya utakuwa umenipata mkuu,hamjaonewa ila wanataka the best people kiutendaji.Next time ukifanya interview,look at the big picture.
 
Im afraid even if I was sympathetic to your plight , you wouldn't discern.

Unanipa masaa mawili hadi saa tano saa tano za wapi na watu tupo mtandaoni hapa?
Kiranga mimi sihitaji kuwa sympathetic uko free kunieleza ujuavyo wala si lazima mawazo yetu yafanane.

Sababu ya kukupa hadi saa 5 ni kuwa hata ukipewa muda wa masaa mawili unaweza usipate jibu la swali hilo sembuse ndani ya chumba cha mtihani under pressure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…