...Ladyfocus, hebu tufafanulie vizuri hapo, bill yao kubwa inatokana na nini? ninavyojua ni kuwa wanauza kifaa chao shs 300,000/- ila unatoa sh 60,000/- wanakupa kifaa unaanza kutumia na baada ya siku 14 unatakiwa kulipa sh alfu moja moja kila shu kwa miezi 9 kama sikosei, hadi utakapomaliza deni la laki 240 lililobaki ambalo pia kama una uwezo unaweza kulimaliza lote kwa mara moja na ukabaki na kifaa chako, wewe na jua tu! Unaposema bill yake ni kubwa unamaanisha nini?
Hata Mwanza na Geita wapo kwa sasa wameanzisha huduma ya umeme mkubwa kidogo wa unauziwa na smart tv ya solar malipo kwa mwezi ni Tsh 30000 na installation ni 30000 pia tv zao na radio jumla ni 230000
Jamaa wako vzr hamna longolongo na cheap sn.nimewaona maeneo flan ya mkoa wa Kilimanjaro.go for it wala usiogope ni elfu 10 kwa mwezi
Mkuu me nimemshangaa yule jamaa aliyesema ofice sijui ziko kwenye kontena sijui wap... Kumbe anakisiran chake anataka kutuletea hapa... Office zao haziko kama yy alivyokua anabwabwaja
Online tu wana link yao
Hao ni mobisol ndio wanakopesha mpower chombo kinabakia kuwa chao unalipa kama luku mobisol ni mkopo wa hizo equipment kwa kulipa polepole...Ladyfocus, hebu tufafanulie vizuri hapo, bill yao kubwa inatokana na nini? ninavyojua ni kuwa wanauza kifaa chao shs 300,000/- ila unatoa sh 60,000/- wanakupa kifaa unaanza kutumia na baada ya siku 14 unatakiwa kulipa sh alfu moja moja kila shu kwa miezi 9 kama sikosei, hadi utakapomaliza deni la laki 240 lililobaki ambalo pia kama una uwezo unaweza kulimaliza lote kwa mara moja na ukabaki na kifaa chako, wewe na jua tu! Unaposema bill yake ni kubwa unamaanisha nini?