Bandabichi
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 230
- 42
hapo sas unanionea kwani wewe chuo umesoma kwa lugha ipi? Landmark ina hadhi gani? KIjiji, Mtaa, Mkoa, Hadhi kitaifa au kimataifa? Ukijua haya ndo utajua ujiandae kwa lugha ipi?
Jiulize Landmark wanafika wageni waaina gani local au foreign mkuu?
Na kujiamini na kile unachoongea na uwezo wa kujenga hoja ndugu hivi vitakusaidia.
Mfano imetokea mgeni alifanya booking ya chumba na hakuconfirm kuwa atalala. Then kile chumba kikauzwa kwa mtu mwingine baada ya kuuzwa yule mgeni akatokea na ni mteja mkubwa hapo Landmark na wakati huo manager hayupo hotelini wewe kama receptionist utafanyaje kutatua tatizo hili?
sidhani kama kuna mahali umewahi kufundishwa swali hili? Inategemea uwezo wako wa kujenga hoja na kuzitetea kwenye jambo kama hilio ndugu appoh
Jiulize Landmark wanafika wageni waaina gani local au foreign mkuu?
Na kujiamini na kile unachoongea na uwezo wa kujenga hoja ndugu hivi vitakusaidia.
Mfano imetokea mgeni alifanya booking ya chumba na hakuconfirm kuwa atalala. Then kile chumba kikauzwa kwa mtu mwingine baada ya kuuzwa yule mgeni akatokea na ni mteja mkubwa hapo Landmark na wakati huo manager hayupo hotelini wewe kama receptionist utafanyaje kutatua tatizo hili?
sidhani kama kuna mahali umewahi kufundishwa swali hili? Inategemea uwezo wako wa kujenga hoja na kuzitetea kwenye jambo kama hilio ndugu appoh
ok umenisaidia sana lugha ni ipi au ina depend
)