Internet ya vodacom ni balaaaaaa

Jamani sijawahi kutumia vodacom ila nimejaribu kwa mara ya kwanza leo na nimeingia kwenye hii ofa yao ya unlimited kwa sh 200 usiku, natoa ushuhuda kuwa kasi nliyokumbana nayo ni ya ajabu jamani sijawahi ona, napakua vitu kwa kasi ya moto sana
Mkuu tujuzane namna ya kujiunga na vodacom internet service. Natumia Simu aina ya Samsung Galaxy.
 
it is true speed yao iko bomba ile kinoma!! nikidownload kwa IDM mimi napata mpaka 650kb/ps

but leo nimejaribu kujiunga inazingua!! sijui wanatatizo gani!!

i hope vodacom wataicha hii service for long time!!!
 
Kujiunga pigeni *149*01# kisha chagua 1(Wajanja Night Offer) ila mimi nimetest leo imegoma
 
Ni kweli jana ilikua na tatizo. I hope leo itakaa poa. Wako vizuri kiukweli! Big up vodacom tz

Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
 
Naona umetumwa kupiga promo. Hamna lolote, mi nimejiunga bundle ya wiki, hamna lolote. Elfu kumi yangu inaniuma
 
Jamani sijawahi kutumia vodacom ila nimejaribu kwa mara ya kwanza leo na nimeingia kwenye hii ofa yao ya unlimited kwa sh 200 usiku, natoa ushuhuda kuwa kasi nliyokumbana nayo ni ya ajabu jamani sijawahi ona, napakua vitu kwa kasi ya moto sana

hao ni wasanii.hata mimi mwanzo ilikua faster baadae ikawa very slow.
Wakati mwingine unanunua bundle wakishakata pesa intanet unaipata kwa shida ama hakuna.
Nikaamua kuconfigure upya phone kwenda Airtell.
 
Hii internet kweli ilikua na speed ile juzi na mimi binafsi nilishusha 3GB kwa tsh. 200/= ila jana nimejiunga wameishapunguza speed na asaiv top speed napata 350kb per second. Sio mbaya kwa kiwango cha pesa nnachotoa so BIG UP vodacom.

Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
 
Hii internet kweli ilikua na speed ile juzi na mimi binafsi nilishusha 3GB kwa tsh. 200/= ila jana nimejiunga wameishapunguza speed na asaiv top speed napata 350kb per second. Sio mbaya kwa kiwango cha pesa nnachotoa so BIG UP vodacom.

Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums

Speed ni sharing wao wameachia speed falan so the more watu wengi wanavojiunga the more kupungua speed zamani tulikua tunapata yote 7.2mbps
 
mkishakua wengi spidi itapungua..kimsingi hamna ishu
kwanza why ungoje mpaka usiku wa manane??
unajua mitandao ya GSM na sasa hii ya 3G haiwezi kua na speed mchana kwa sababu the same network inatumia both voice and data ambayo inafanya mtandao uwe congested!, sasa hawa jamaa kuondokana na hilo wanaleta PROMOTIONS zao za USIKU WA MANANE wakijua kwamba hakuna congestion. lakini kama ulivyosema mkuu Abdulhalim hapo kwenye bold lazima itakua hivyo.
nawaaminia makampuni yanayotumia CDMA kwa internet connection kwamba ndio yanatisha kwa speed, tyr Zantel na TTCL uone.
 
Last edited by a moderator:
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom