Wawafanyie hata internet ya mgao aisee, maana watu watafirisika sasa kwa siku 12.. hali itakuwa sio nzuri hasa kweye mifukoKuna tetesi huduma ya internet itazimwa kuanzia 29 Nov to 10 December.
StarlinkDuhh alternative ni nini sasa aisee?
Asee mkoloni mweusi ni mtu hatari sanahivi afrika swala la mtu kujiuzuru mbona huwa ni gumu sana?
wapo radhi nyote mfe ila mtu asijiuzuru
Binafsi sikupingi. Kwani ni jambo linalowezekana, kwani kwa serekali hii ya CCM yenye uwezo wa ku abduct raia na kumuua kisha kumtupa majini au nchi kavu,itashindwaje kuzima internet hata kwa mwakaKuna tetesi huduma ya internet itazimwa kuanzia 29 Nov to 10 December.
Lile angalizo lako masikini wala halikuzingatiwa. Sijui hawa watu huwa wanawaza nini!Dah kuanzia juzi
Ikifika saa 12 mtndao unasumbua sana
Hawajaribu tena huo upuuziKuna tetesi huduma ya internet itazimwa kuanzia 29 Nov to 10 December.