Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
AC Milan waliutawala mpira kwa kipindi kirefu, huku wakigonga pasi na skills za ajabu...
Lakini mwisho wa mechi ''kunguru kanyea manati''...
Inter 2-0 Milan.
AC Milan bado wana nafasi kubwa ya kunyakuwa ubingwa wa scudetto ukizingatia still wana mechi moja mkononi na ndio kwanza duru la lala salama limeanza.
Forza Milan
Lakini mwisho wa mechi ''kunguru kanyea manati''...
Inter 2-0 Milan.
AC Milan bado wana nafasi kubwa ya kunyakuwa ubingwa wa scudetto ukizingatia still wana mechi moja mkononi na ndio kwanza duru la lala salama limeanza.
Forza Milan