Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,704
- 39,776
hivi mkuu unatufanya sisi watoto wadogo au? maana sikuelewi, hebu kwenye hio thread nionyeshe njia tofauti na brute force alioitaja. maana nimequote hadi thread usome unioneshe hunioneshi una ng'ang'ania tu kataja.Sio kweli kuwa kataja bruteforce tu. Ukisema kitu fulani hakiwezekani, onyesha ni kivipi hakiwezekani.