InstaBrute - Instagram bruteforce exploit module.

Sio kila security detail huwa inawekwa public. Kwenye nchi iko hivyo, kwenye majeshi iko hivyo na kwenye Software Development iko hivyo. Inaitwa "The Principle of Security by Obscurity". Nilitarajia uwe unafahamu hilo. The only way ya kutuaminisha hilo linawezekana ni kwa wewe ku penetrate kwa hiyo brute force.

Akaunti ya kampui yetu insta ni hosannaht
Ivamie kama uhakikisho kwetu nasi hatutakushtaki popote. Vinginevyo ina maana haipenyeki, at least wewe huwezi kupenya kwa hiyo brute force attack!


Nafahamu hilo, na Security through obscurity is bad because it substitutes real security for secrecy in such a way that if someone learns the trick they compromise the system. Ndio maana, most Organizations hazirely tu kwa hiyo principle, watahitaji angalau a good layer of security to place hiyo security through obscurity on top of it.

Na vile vile utawezaje kusema (wewe kama nani? Instagram spokesman ama security engineer wao?) kuwa instagram haiwezi kuwa penetrated kwa brute, mimi imani yangu na ndo iko ivo kuwa hakuna system yoyote ambayo ni fully secured, as long as imetengenezwa na huyu huyu binadamu lazma inafaults na hata hizo mitigations hazishuka na malaika hivo nazo zina downsides zake na zaweza kuwa circumvented!

Anyway mada ishakuwa concluded apo juu ^^.

"
Haina maana kwako na kwa wengine ambao hawajathubutu kuiexperiment, hivo sina budi kujisumbua kujiprove kwenu ninyi ambao hamjaitumia na pengine hata mmeshindwa kuitumia.

Sihitaji kuacknowledge my skills before mtu yeyote bro
.

What nilichotaka ni kushare nanyi hiyo module. Hivo basi kama utaipuuzia, we baki kuipuuzia wapo watakaoweza kuitumia. Nmeelezea procedures namna ya kuitumia na kama kuna mtu mwenye pentesting skills ataweza kujiongeza.

Ni hayo tu.
"
 
hakuna aliekukatalia brute force haifanyi kazi, unachokataliwa wewe hapa ni instagram na brute force, na ndio kitu ulichokuwa ukikitetea mwanzo na mimi na wengine walikuwa wakisema haiwezekani.

anyway kama umekubali site kama insta, FB na nyengine kubwa huwezi kuzibrute force basi mjadala umeisha.
Bado huelewi alichoandika. Wewe unang'ang'ania tu haiwezekani.
 
Sijakubali kwamba haiwezekani kuzibruteforce, nafasi ya kuzibrute na kuweza kufanikiwa ipo. Wewe kama unasema haiwezekani nipe ushahidi Instagram au FB wametumia policy ya aina gani kucompletely prevent Bruteforce. Ila kama hacker bado it's possible kubrute kutokana na so many downsides za each method ya kumitigate Bruteforce kama zilivofafanuliwa na OWASP - Blocking Brute Force Attacks - OWASP . Hivo unayebisha kwamba bruteforce haiwezekani ulete namna ambayo Instagram/FB wanaitumia 'kuondoa kabisa' threat hiyo.
Wataishia kukupa links za blogs tu. Hakuna mtu kati ya hawa anayeweza kufanya scientific derivation kuthibitisha wanachosema.
 
Wataishia kukupa links za blogs tu. Hakuna mtu kati ya hawa anayeweza kufanya scientific derivation kuthibitisha wanachosema.
kwa logic yako akitokea mkichaa akasema ana uwezo wa kutengeneza meli ndani ya sekunde 1 halafu mimi nikashindwa kuthibitisha kwamba hawezi ina maana ni kweli yule mkichaa anaweza tengeneza meli ndani ya sekunde 1?
 
mkuu huwa mimi sipendi blah blah na siasa, naipenda Technology sababu ni kitu ambacho kila kitu kina proof, humu hakuna kudanganyana kama watoto.

kama unasema inawezekana ni wewe ndio unatakiwa ku prove, na angalau ungeprove hata kidogo kwa screenshot kwamba umeweza kubypass mambo yote hayo unayotuambia kwa thoery.

hata screenshot ya hio program hatujaiona, hebu tuekee basi practically unavyofanya, sio lazima ufanikiwe angalau tu tuone matumaini.
So unadhani screenshot inaweza kuverify kwamba mtu amehack account ya mtu? Yaani na hapo unasema hupendi blah blah! Kweli screenshot ambayo inaweza hata kutengenezwa itakuwa ni ushahidi?
 
kwa logic yako akitokea mkichaa akasema ana uwezo wa kutengeneza meli ndani ya sekunde 1 halafu mimi nikashindwa kuthibitisha kwamba hawezi ina maana ni kweli yule mkichaa anaweza tengeneza meli ndani ya sekunde 1?
Does this relate na kutengeneza meli? How close are these two arguments?
 
So unadhani screenshot inaweza kuverify kwamba mtu amehack account ya mtu? Yaani na hapo unasema hupendi blah blah! Kweli screenshot ambayo inaweza hata kutengenezwa itakuwa ni ushahidi?

Engineers na security experts wa Instagram wenyewe nina uhakika hawawezi kukanusha au kukataa kuwa they can't be hacked, kwa njia yoyote ile, kama ambavyo wewe unang'ang'ana.
 
nimekuuliza swali unanijibu swali? nasubiria jibu
Nimekuuliza unadhani hoja tunayojadili hapa ina ufanano wowote au ulinganifu na kutengeneza meli kwa sekunde moja? Ni logic gani inayokuaminisha kuwa hoja tunayojadili hapa angalau inakaribia na kutengeneza meli kwa sekunde?
 
Sio kweli kuwa kataja bruteforce tu. Ukisema kitu fulani hakiwezekani, onyesha ni kivipi hakiwezekani.


Labda ndugu zangu niwasaidie kidogoo ni kwamba unapozungumzia brute force mean kwamba ni kama kitu ambachoo umekitengeneza na kubun namb heruf mbali mbal kwa ajil ya kuingia kwenye acc ya mtu mfano instagram bilaa rizaa yakee....

Kunaa njia mbali mbal ya kuweza kupata password za mtu kupitia mitandao ya kijamii ilaa Leo ngojaa niwakumbushe kituu kuhusiana ma
[HASHTAG]#BRUTEFORCE[/HASHTAG] MEAN ATTACK FORCES OF SOCIAL FISHING TOOL LIKE FB IINSTA TWITTER AND N.K
Kwenyee suala ya bruteforce now imekuwa ngumu kuweza Ku access taarifa ya MTU kupitia Instagram
Kwan huwa wanaweza kutumia password zaid ya million 10 kuotea taarifa ya MTU hivyoo uwezo Wa kuingia katika acc ya MTU ni ngumu kwa 100℅
 
Wewe unafanya makusudi kupotosha kwa kuinsist just a bruteforce. Nikuulize, ukiambiwa ukaue jambazi kwa kutumia bunduki, maarifa pekee utakayokuwa unatumia ni kufyatua risasi? Kama utahitaji skills zingine in combination na kutumia bunduki ni zipi?



Labda ndugu zangu niwasaidie kidogoo ni kwamba unapozungumzia brute force mean kwamba ni kama kitu ambachoo umekitengeneza na kubun namb heruf mbali mbal kwa ajil ya kuingia kwenye acc ya mtu mfano instagram bilaa rizaa yakee....

Kunaa njia mbali mbal ya kuweza kupata password za mtu kupitia mitandao ya kijamii ilaa Leo ngojaa niwakumbushe kituu kuhusiana ma
[HASHTAG]#BRUTEFORCE[/HASHTAG] MEAN ATTACK FORCES OF SOCIAL FISHING TOOL LIKE FB IINSTA TWITTER AND N.K
Kwenyee suala ya bruteforce now imekuwa ngumu kuweza Ku access taarifa ya MTU kupitia Instagram
Kwan huwa wanaweza kutumia password zaid ya million 10 kuotea taarifa ya MTU hivyoo uwezo Wa kuingia katika acc ya MTU ni ngumu kwa 100℅
 
Mimi sio hacker, ninachohoji hapa ni arguments. How did you achieve to a wrong 100%?

Wewe ni hacker? Ulishawahi kuhack nini?
Umeprove vipi kuhack Instagram kwa bruteforce in combination na skills zingine haiwezekani? Kwa nini wewe unang'ang'ania bruteforce tu wakati kataja kitu zaidi ya kimoja? Je, ukishindwa kuhack mfano, JF, ni kwa sababu it can't be hacked au ni kwa sababu ya limitation ya uwezo wako?



Labda ndugu zangu niwasaidie kidogoo ni kwamba unapozungumzia brute force mean kwamba ni kama kitu ambachoo umekitengeneza na kubun namb heruf mbali mbal kwa ajil ya kuingia kwenye acc ya mtu mfano instagram bilaa rizaa yakee....

Kunaa njia mbali mbal ya kuweza kupata password za mtu kupitia mitandao ya kijamii ilaa Leo ngojaa niwakumbushe kituu kuhusiana ma
[HASHTAG]#BRUTEFORCE[/HASHTAG] MEAN ATTACK FORCES OF SOCIAL FISHING TOOL LIKE FB IINSTA TWITTER AND N.K
Kwenyee suala ya bruteforce now imekuwa ngumu kuweza Ku access taarifa ya MTU kupitia Instagram
Kwan huwa wanaweza kutumia password zaid ya million 10 kuotea taarifa ya MTU hivyoo uwezo Wa kuingia katika acc ya MTU ni ngumu kwa 100℅
 
Back
Top Bottom