kwa hali hii watanzania wenzagu tegemeeni hali mbaya zaidi huko tunakoelekea /MASKINI NCHI YETU TANZANIA/UPDATE
Habari nilizozipokea sasa hivi kwa njia ya SMS kutoka kwa doctor mmoja pale Mhimbili zinasema hivi,nanukuu,"Hii ya sasa ni bab kubwa responce ni 100% MPAKA EMERGENCY,intern ndio wamemaliza kikao chao cha kupeana moyo na specialist ndio wanaanza Russian culture nw..together we can make it" mwisho wa kunukuu sms niliyoipokea.
My take hivi serikali ina shindana na madaktari kwa ajili ya maslahi ya kisiasa? au inatakiwa kulinda afya za wananchi wake?
Maana kama mawaziri wamelalamikiwa na ni kweli wameshindwa kuwajibika kwa nini waendelee kuwepo hapo?na je inawezekanaje kupokea malalamiko ambayo kimsingi wao ndio wanalalamikiwa na kisha wakayafanyia kazi?
Hiyo radio ina matatizo na ni ya uchochezi,hv waziri wa elimu ni nani?
hamna mgomo wewe
ama intelijensia wamefanya kazi yao,au wameahirisha mgomo ghafla?
Hii nchi ina vishushu tu intelijensia halisi ni level ambayo bado hatujaifikia.
Sijawahi kuona ma-dr wanaofurahia watu wakifa ili kukidhi matakwa yao ya ulafi wa fedha na kushibisha matumbo yao. Ni hapa Tz tu. Wanatutoa kafara wenzao.
Mwisho wa yote nina hakika ITAKULA KWA MADAKTARI.
Subirini. Serikali huwa hai-bipu, inapiga.
Hamna mgomo, walikuwa wanatikisa kiberiti tu na wamegundua njiti zimejaa. Adabu moja kwa moja na wako mzigoni. Hiyo ndiyo serikali bwana
Sijawahi kuona ma-dr wanaofurahia watu wakifa ili kukidhi matakwa yao ya ulafi wa fedha na kushibisha matumbo yao. Ni hapa Tz tu. Wanatutoa kafara wenzao.
Mwisho wa yote nina hakika ITAKULA KWA MADAKTARI.
Subirini. Serikali huwa hai-bipu, inapiga.
Sijawahi kuona ma-dr wanaofurahia watu wakifa ili kukidhi matakwa yao ya ulafi wa fedha na kushibisha matumbo yao. Ni hapa Tz tu. Wanatutoa kafara wenzao.
Mwisho wa yote nina hakika ITAKULA KWA MADAKTARI.
Subirini. Serikali huwa hai-bipu, inapiga.
Hii nchi ina vishushu tu intelijensia halisi ni level ambayo bado hatujaifikia.
madaktari ni lazima na wanapaswa rejea kazin PUNDE.. PERIOD.