Insights muhimu kuhusu mgomo wa madaktari leo 7/03/2012

UPDATE



Habari nilizozipokea sasa hivi kwa njia ya SMS kutoka kwa doctor mmoja pale Mhimbili zinasema hivi,nanukuu,"Hii ya sasa ni bab kubwa responce ni 100% MPAKA EMERGENCY,intern ndio wamemaliza kikao chao cha kupeana moyo na specialist ndio wanaanza Russian culture nw..together we can make it" mwisho wa kunukuu sms niliyoipokea.
My take hivi serikali ina shindana na madaktari kwa ajili ya maslahi ya kisiasa? au inatakiwa kulinda afya za wananchi wake?
Maana kama mawaziri wamelalamikiwa na ni kweli wameshindwa kuwajibika kwa nini waendelee kuwepo hapo?na je inawezekanaje kupokea malalamiko ambayo kimsingi wao ndio wanalalamikiwa na kisha wakayafanyia kazi?
kwa hali hii watanzania wenzagu tegemeeni hali mbaya zaidi huko tunakoelekea /MASKINI NCHI YETU TANZANIA/
 
Tatizo la kuendesha nchi kisanii ndio hili! Mwisho wa siku matokeo yake ndio haya.
 
Hapa imebaki ni ubabe tu yaani mwenye nguvu mpishe. Lakini mwisho wa yote anayeumia ni mwanachi na cc tutabaki kutoa coments kwenye jf
 
hamna mgomo wewe

Usiwadanganye watu kama Mponda alivyodanganya bunge kua hali ni shwari huku maisha yakiteketea mahospitalini... muhimbili hakuna kazi inayofanyika hio ndio taarifa kamili wafikishie wanaokulipa
 
Watu wengine mnapeeenda kuwe na mgomo, aisee kweli binadamu tupo tofauti sana!
 
Wana Chadema,

Ananilea Nkya nae atagombania jimbo 2015 au mtambakisha awe anatetea maslahi yenu nje ya bunge?
 
Sijawahi kuona ma-dr wanaofurahia watu wakifa ili kukidhi matakwa yao ya ulafi wa fedha na kushibisha matumbo yao. Ni hapa Tz tu. Wanatutoa kafara wenzao.

Mwisho wa yote nina hakika ITAKULA KWA MADAKTARI.

Subirini. Serikali huwa hai-bipu, inapiga.
 
Sijawahi kuona ma-dr wanaofurahia watu wakifa ili kukidhi matakwa yao ya ulafi wa fedha na kushibisha matumbo yao. Ni hapa Tz tu. Wanatutoa kafara wenzao.

Mwisho wa yote nina hakika ITAKULA KWA MADAKTARI.

Subirini. Serikali huwa hai-bipu, inapiga.




umeyasikia ya kenya au unaropoka hapa bila mpango
 
tena vishushushu wenye njaa wanaopelekeshwa na viongozi wa serikali. hapa kwetu tuna wanausalama wa viongozi sio usalama wa taifa.
 
Hamna mgomo, walikuwa wanatikisa kiberiti tu na wamegundua njiti zimejaa. Adabu moja kwa moja na wako mzigoni. Hiyo ndiyo serikali bwana

hata mgomo wa kwanza mlituliwaza hivyo hivyo. hawa hawagomi kama wanafunzi, wanagoma kwa hatua. wanaanza na vitengo, wanakuja hospitali to fade
 
Sasa rasmi, Mgomo upo: Muhimbili, Dodoma, Mbeya na Mwanza.

Hapo hakuna tena propaganda za kudai mgomo hakuna.

Source TBC1,
 
Sijawahi kuona ma-dr wanaofurahia watu wakifa ili kukidhi matakwa yao ya ulafi wa fedha na kushibisha matumbo yao. Ni hapa Tz tu. Wanatutoa kafara wenzao.

Mwisho wa yote nina hakika ITAKULA KWA MADAKTARI.

Subirini. Serikali huwa hai-bipu, inapiga.

Kweli ni hapa TZ tu, rais anaweza kusafiri na kuendelea na mambo yake katika hali kama hii
 
Sijawahi kuona ma-dr wanaofurahia watu wakifa ili kukidhi matakwa yao ya ulafi wa fedha na kushibisha matumbo yao. Ni hapa Tz tu. Wanatutoa kafara wenzao.

Mwisho wa yote nina hakika ITAKULA KWA MADAKTARI.

Subirini. Serikali huwa hai-bipu, inapiga.

Sasa maDaktari hata hiyo hela ya kubeep hawana...simu washazima zamaniiii, sijui hiyo serikali ikpiga itawapatia wapi!
 
Hii nchi ina vishushu tu intelijensia halisi ni level ambayo bado hatujaifikia.

Zamani bibi alipenda kuniambia maneno haya kila tulipomuona kichaa:
'Wengine sio vichaa mjukuu wangu,ni ma-SPY wa raisi hao...' yaani mtu anakula jalalani ili afanye u-spy! Labda hawa wa leo wanategemea JF tu.
 
Back
Top Bottom