Madaktari wamezidisha utoto, sisi wananchi wa kawaida hatuwaungi mkono kwa jeuri hiyo
Mgomo wa madaktari unahusishwa na udini
Mgomo wa madaktari uliomalizika hapo juma na unaoendeleo hata leo wahusishwa na udini kuwa eti Dr haji mponda anashinikizwa kujiuzulu maana ni muislam na wanasema hawa wanaharakati hawafai maana wanaibua mambo katika sekta ambazo waislam wamezishkilia na wanadai kuwa watakuja hata kumshinikiza rais Jk kujiuzulu manake nchi haita tawalika na wanasema pia waislam wanaonewa sana hata katika elimu manake waziri wa elimu ni mkiristo. Wamesema wanaandaa maandamano makubwa kupinga mgomo wa madaktari na kuwapinga hawa wanaharakati maana watakuja sababisha nchi isitawalike. Source radio imani asubui hii
Wakuu wanaJF
Leo ndiyo ile siku ambayo madaktari waliweka wazi kuwa watagoma endapo serekali itashindwa kuwasimamisha kazi mawaziri wa afya. Napost uzi huu ili kujua hali ikoje kwa wale walio karibu na hospitali zetu hususan MUHIMBILI, KCMC, BUGANDO, DODOMA, MBEYA n.k,Je? Kuna madaktari kazini?
Na vipi wananchi wa kawaida wanasemaje kuhusu mvutano huu kati ya serikali na madaktari?
Lakini pia ikumbukwe kuwa waziri mkuu Pinda alipokuwa anaongea na madaktari tar 9/02/2012 pale CPL MNH aliwaahidi wananchi kuwa serikali ina nia ya dhati kutatua mgogoro kwenye sekta ya afya na kwa kuanza akawasimamisha Blandina Nyoni( aliyeteuliwa na kuapishwa na rais) na Deo Mtasiwa( sina uhakika aliteuliwa na nani labda mnisaidie).
Sasa kama pinda alimsimamisha kazi mteule wa rais ambaye ndiye mtendaji mkuu wa wizara na kusema kuwa atamshauri rais awafukuze mawaziri je?
1. kwa nini asiwe na mamlaka ya kuwasimamisha wateuele wengine wa rais ambao wako ofisi moja na katibu mkuu?
2. au hakushuri rais kama alivyo ahidi kufanya? Na kama ni hivyo ina maana aliudanganya umma hivyo anapaswa kujiuzulu mara moja kulinda heshima yake.
3. kama alimshauri rais halafu huyu bwana mkubwa akapuuzia pia anapaswa kuonesha nia yake ya dhati ya kuwatetea wanyonge kwa kujiuzulu maana amedharauliwa kupita kiasi.
4. kama madaktari wataendelea na msimamo wao wa kugoma hadi serikali iwafukuze mawaziri na serikali ikakataa kwa madai kuwa rais hafanyi kazi kwa shinikizo, je? serikali itaweza kuwafukuza madaktari wote na kuajiri wengine au itaendelea kuatimua wanajeshi kutibu raia?
5. Na vipi kwa upande wa madaktari, je? wapo tayari kushikilia msimamo wao hadi mwisho bila kusalitiana endapo wataambiwa warudi kazini mmoja mmoja kwa kusaini makubaliano maalumu?
KITU KINGINE KILICHONISHANGAZA NI KWAMBA YALE MATANGAZO YALIYOKUWA YAMEBANDIKWA KWENYE NGUZO NA KUTA ZA HOSPITALI YA MUHIMBILI TOKA JANA NA ZIKASOMWA NA WATU WENGI WAKIWAMO WAGONJWA WENYEWE LEO HAZIPO! Nani kuziondoa? Ni Njelekela? Ni wagonjwa? Ni usalama wa taifa? au ni upepo ulioambatana na mvua kali? Na kama serikali itaendelea kutumia hizi mbinu za kitoto na za zamani kuzima na kuzuia taarifa kuwafikia wananchi mfano kubandua matangazo yaliyobandikwa na MAT, je tutafika? Na kama hali yenyewe ya utatuzi wa matatizo ni kuondoa matangazo yanayopasha wananchi ukweli wa kwa nini madaktari wanagoma, je? serikali ina nia ya dhati kusuluhisha mgogoro huu au ndiyo inachochea?
WAKUU NAOMBA TUJADILI HAYA MAMBO KWA KINA BILA KUELEMEA UPANDE WOWOTE ILI UKWELI UJULIKANE.
tuko wengi tunao[pinga huu ufi.......r...u....ni ndio maana amesema sisi...pia ni busara kutumia neno sisi badala ya mimi.
Kwa huu mgomo wa safari hii madaktari wamechemka, ule wa kwanza niliwa support, ila huu wa sasa wamechemka ile mbaya, rudini kwenye meza ya mazungumzo
Kwa huu mgomo wa safari hii madaktari wamechemka, ule wa kwanza niliwa support, ila huu wa sasa wamechemka ile mbaya, rudini kwenye meza ya mazungumzo
Nimetoka muhimbili asubuh,madaktari walikuwepo
[
Mgomo wa madaktari uliomalizika hapo juma na unaoendeleo hata leo wahusishwa na udini kuwa eti Dr haji mponda anashinikizwa kujiuzulu maana ni muislam na wanasema hawa wanaharakati hawafai maana wanaibua mambo katika sekta ambazo waislam wamezishkilia na wanadai kuwa watakuja hata kumshinikiza rais Jk kujiuzulu manake nchi haita tawalika na wanasema pia waislam wanaonewa sana hata katika elimu manake waziri wa elimu ni mkiristo. Wamesema wanaandaa maandamano makubwa kupinga mgomo wa madaktari na kuwapinga hawa wanaharakati maana watakuja sababisha nchi isitawalike. Source radio imani asubui hii
mimi sichangii sana mkuu japo nilitamani sana na ningependa kufanya hivyo, lakini madakitari wnanafanya hivyo kiasi mtu anavyoshindwa kutambua mchango wao ndio inanichukulia mimi kukuandikia hata hayo nisiyostahili kukuandikia!mimi naishi na jamii na ninasaidia watu wenye matatizo na shida mbalimbali
wewe weka hapa kiasi unachochangia ndipo nami ntaweka.
mwisho haya uliyoniuliza ni nje ya mada tunayoijadili sijui umeamka saa ngapi au bado unaamka amka kwa hiyo usingizi haujaisha vizuri
Unamdanganya nani? Hali hapa MNH ni mbaya na hakuna wagonjwa wanaoonwa!Nimetoka muhimbili asubuh,madaktari walikuwepo
Na Lucy NKYA, BLANDINA NYONI na DEO MTASIWA ni waislam? Na Madaktari wote waislam wapo kazini? Leo mmelikoroga na lazima mlinywe!! MMezoea propaganda za kidini na hili halitawagawa madaktari!!! Timizeni matakwa ya madaktari yaishe!!Madaktari wapo kwenye mgomo hakuna atayekutibu utindio wa ubongo
Kwa huu mgomo wa safari hii madaktari wamechemka, ule wa kwanza niliwa support, ila huu wa sasa wamechemka ile mbaya, rudini kwenye meza ya mazungumzo
Mgomo wa madaktari unahusishwa na udini
Mgomo wa madaktari uliomalizika hapo juma na unaoendeleo hata leo wahusishwa na udini kuwa eti Dr haji mponda anashinikizwa kujiuzulu maana ni muislam na wanasema hawa wanaharakati hawafai maana wanaibua mambo katika sekta ambazo waislam wamezishkilia na wanadai kuwa watakuja hata kumshinikiza rais Jk kujiuzulu manake nchi haita tawalika na wanasema pia waislam wanaonewa sana hata katika elimu manake waziri wa elimu ni mkiristo. Wamesema wanaandaa maandamano makubwa kupinga mgomo wa madaktari na kuwapinga hawa wanaharakati maana watakuja sababisha nchi isitawalike. Source radio imani asubui hii
Nyie watu wa usalama wa Taifa acheni ushenzi wenu wa kuoa taarifa potofu!!
Hiyo Radio ina laana toka kwa mwenyezi Mungu.
(1) Aliyekwambia kuwa Madakitari wote ni Wakristo NANI.
(2) Alikwambia kuwa Wanaharakati wote ni Wakristo NANI.
MTALAANIKA WOTE PAMOJA NA HIYO RADIO MNAOZUSHA KUHUSU UDINI KATIKA SUALA HILI LA MGOMO WA MADR.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!