THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,543
- 14,803
Katika hali ya kujiandaa rasmi na pilika za kugombea urais 2015,Edward Lowasa katika kikao chake cha Ndani alichokifanya na wazee wa Mtwara wakati akipita kuelekea kwenye mazishi ya kifo cha marehem Major General Rashid Makame huko Tandahimba...
Lowasa kabla na baada ya kwenda mazikoni alipitia manispaa wa Mtwara Mikindani na kufanya kikao cha usiri wa hali ya juu na kuwaasa wazee hao kushikilia uzi wao, na kwamba yeye akiingia madarakan atahakikisha kwa kupitia gesi hiyo anaibadilsha Mtwara na kuipeleka katika level nyingine kusini yote kwa ujmla...
wazee hao walimpinga wazi wazi na kumkaripia ya kwamba wao kuhusu suala hilo hawahitaji Backup ya mtu yoyote yule..!
Wakamwambia yeye na swahiba wake Jk ndio walitoa ahadi nyingi kwenye kampeni za mwaka 2015 lakin leo hii mwenzake kageuka na kushupalia kuipeleka gesi hiyo Bagamoyo, je watamuamin vipi yeye kama hilo analolisema anamaanisha?
Wakazidi kumwambia kuwa kama yeye anautaka Urais basi aombe na awaombe kuungwa mkono kwa hoja zingine, lakini si suala la gesi, wao gesi washajitoa muhanga wa hali na nafsi zao, wanasubiri muda hule serikali itapoanza pilika pilika zake na wao waanzishe za kwao...
Lowasa ikambidi apanguse vumbi na kuondoka zake...
Kadiri siku zinavozidi kwenda ndivo mapya yanavozidi kuchomoza, lakini mwshowe itafahamika tuu.
Haitoki kweli...
Lowasa kabla na baada ya kwenda mazikoni alipitia manispaa wa Mtwara Mikindani na kufanya kikao cha usiri wa hali ya juu na kuwaasa wazee hao kushikilia uzi wao, na kwamba yeye akiingia madarakan atahakikisha kwa kupitia gesi hiyo anaibadilsha Mtwara na kuipeleka katika level nyingine kusini yote kwa ujmla...
wazee hao walimpinga wazi wazi na kumkaripia ya kwamba wao kuhusu suala hilo hawahitaji Backup ya mtu yoyote yule..!
Wakamwambia yeye na swahiba wake Jk ndio walitoa ahadi nyingi kwenye kampeni za mwaka 2015 lakin leo hii mwenzake kageuka na kushupalia kuipeleka gesi hiyo Bagamoyo, je watamuamin vipi yeye kama hilo analolisema anamaanisha?
Wakazidi kumwambia kuwa kama yeye anautaka Urais basi aombe na awaombe kuungwa mkono kwa hoja zingine, lakini si suala la gesi, wao gesi washajitoa muhanga wa hali na nafsi zao, wanasubiri muda hule serikali itapoanza pilika pilika zake na wao waanzishe za kwao...
Lowasa ikambidi apanguse vumbi na kuondoka zake...
Kadiri siku zinavozidi kwenda ndivo mapya yanavozidi kuchomoza, lakini mwshowe itafahamika tuu.
Haitoki kweli...