kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 707
Jamaa kamfumania mkewe,
Mkewe kamwambia basi mume wangu kwakuwa najua unaenda kunifukuza ngoja niagane na jamaa vizuri asije akasema nimemkimbia, maana mara ukiisha kunipa talaka yangu nategemea ni kwa huyu uliyenifumania naye ndiko ntaenda au yeye ndiye atakayenituza baada ya kufukuzwa na wewe kutokana na huku kunifumania,
Duh jamaa kusikia vile kawivu flani hivi cha mapenzi kaka mjia akamwambia basi mke wangu nimekusamehe twende zetu nyumbani. unaambiwa mpaka leo mwaka wa tano sasa wanaishi kwa amani na furaha
Mkewe kamwambia basi mume wangu kwakuwa najua unaenda kunifukuza ngoja niagane na jamaa vizuri asije akasema nimemkimbia, maana mara ukiisha kunipa talaka yangu nategemea ni kwa huyu uliyenifumania naye ndiko ntaenda au yeye ndiye atakayenituza baada ya kufukuzwa na wewe kutokana na huku kunifumania,
Duh jamaa kusikia vile kawivu flani hivi cha mapenzi kaka mjia akamwambia basi mke wangu nimekusamehe twende zetu nyumbani. unaambiwa mpaka leo mwaka wa tano sasa wanaishi kwa amani na furaha