Ingependeza kama wanawake wakijibu swali hili

Na kweli tunaendekeza wenyewe. Kuna mtu akipata mteremko (nimeona hata wanaume na ndugu zao wanategemea mwanamke). Unajiskiaje kurudi nyumbani ndugu zako wamejaa wanagombea remote? Wababa wazimaa. Na wamama watarajiwa? Nadhani malezi yanachangia!
Wifi malezi yanachangia sana. . . Huwezi kulelewa katika mazingira ya kujitegemea alafu ukubwani ukaja kuwa tegemezi.
 
Hehehe! Dingi si unajua nilivyopinda,lol! Kwanza hata ukitaka small house ww niambie nikushauri. Ndo dot com baba,lol
Aiyaaaa.......Mwanangu, mimi sikutaka usome hii maneno, siku nyingine uwe unaniuliza kabla ya kufungua................LOL
 
Unategemea wanawake wafunguke hapa?Umekosea,hata ukikutana na mwanamke anaefanya hako ka mchezo hawezi kukuambia kweli,atakaa kimya,hata ukimwambia"nataka na huku"atagoma,ukilazimisha atakubali,lakini wakati wa tendo utashangaa njia haina nyasi,ikimaanisha watu walishapita zamani!

Wewe ulishawahi kushiriki hiyo tigo ya mwenzio ukakuta ipo hivyo??
 
Wewe ulishawahi kushiriki hiyo tigo ya mwenzio ukakuta ipo hivyo??

Dear,sijawahi,ila kuna ushaidi wa kuona,kuambiwa na wa kushiriki,naamini wote tulioko kwenye huu mjadala tupo kwenye moja ya makundi hayo hapo!Otherwise huu mjadala usingekuwepo!
 
Na kweli tunaendekeza wenyewe. Kuna mtu akipata mteremko (nimeona hata wanaume na ndugu zao wanategemea mwanamke). Unajiskiaje kurudi nyumbani ndugu zako wamejaa wanagombea remote? Wababa wazimaa. Na wamama watarajiwa? Nadhani malezi yanachangia!

Mbona huku Uswazi kwetu hiyo ipo sana..........................
 
Hehehe! Dingi si unajua nilivyopinda,lol! Kwanza hata ukitaka small house ww niambie nikushauri. Ndo dot com baba,lol

Mungu wangu, ngoja ni delete kabla Mama Ngina hajasoma hii maneno....................LOL
 
Kwa hiyo tukubali kuwa kuna uwezekano asilimia 75 ya wanawake wakakubaliana na jambo hilo kimya kimya!.................................. 'Kwani nani atajua?'

Ndo tatizo la kuishi kwa ajili ya kuwafurahisha wengine, wakati huo amaadhimia kutoa hiyo kitu anatakiwa ajiangalie yeye kama yeye atadhurika/atafaidika vipi na huo mchezo na sio "kwani nani atajua"........hey!!!
 
Dear,sijawahi,ila kuna ushaidi wa kuona,kuambiwa na wa kushiriki,naamini wote tulioko kwenye huu mjadala tupo kwenye moja ya makundi hayo hapo!Otherwise huu mjadala usingekuwepo!

Then be aware, 'hear say' evidence can be relevant but not admissible!!
 
Kusema ukweli ukishakubali kuwa tegemezi umekubali mengi tu bila kujua.the moment unakubali kumtwisha mzigo wa kuwasaidia ndugu zako mwanaume/mke ambaye hamna mkataba rasmi unajiexpose kwenye utegemezi, abuse and the alike.
 
Kusema ukweli ukishakubali kuwa tegemezi umekubali mengi tu bila kujua.the moment unakubali kumtwisha mzigo wa kuwasaidia ndugu zako mwanaume/mke ambaye hamna mkataba rasmi unajiexpose kwenye utegemezi, abuse and the alike.

Hhmm Mumy what diference does "mkataba rasmi" make when it comes to being tegemezi??Disavantage si zile zile?Au huo mkataba unafanya hizo abuse na nduguzi ziwe stahiki ya mtegemezi?
 
Hata kama tungekuwa tumefunga ndoa huo ndio ungekuwa mwisho wa mahusiano yetu. Hao ndugu ni vema kila m1 akabeba msalaba wake
 
Huyo mwanaume atakuwa hanipendi labda kama atakuwa ameona vidalili vya mimi kuutaka huo mchezo. Ukiwa tegemezi halafu ukakosa msimamo utafanyiwa mambo mengi ya kukera. Wadada waepuke hapo. Kuna mdada wa chuo alibwagwa na njemba yake, hapo hapo akazimia ikabidi awahishwe hospitali, bro wangu akaongea nae kulikoni? Yule dada akamwambia ukweli bro kwamba anamtegemea jamaa kwa kila kitu na pale alipo anadaiwa ada ya chuo na pocket money imeisha. Kitendo cha kuachwa inamaana maisha yake yote yamevurugika maana hatopata hizo huduma. Akamwomba bro afanye juu chini amuombee msamaha warudiane.
 
Mtambuzi bana,hivi sa ingine huwa unafikiria nini wakati unaandaa mada? I am trying to enter your mind.I wish ningekuwa mtaalam wa telepathy,hahahahaaaa!!!!!
 
Huyo mwanaume atakuwa hanipendi labda kama atakuwa ameona vidalili vya mimi kuutaka huo mchezo. Ukiwa tegemezi halafu ukakosa msimamo utafanyiwa mambo mengi ya kukera. Wadada waepuke hapo. Kuna mdada wa chuo alibwagwa na njemba yake, hapo hapo akazimia ikabidi awahishwe hospitali, bro wangu akaongea nae kulikoni? Yule dada akamwambia ukweli bro kwamba anamtegemea jamaa kwa kila kitu na pale alipo anadaiwa ada ya chuo na pocket money imeisha. Kitendo cha kuachwa inamaana maisha yake yote yamevurugika maana hatopata hizo huduma. Akamwomba bro afanye juu chini amuombee msamaha warudiane.
za siku Husn?
TF hajambo?
Hayo sio mapenzi ni biashara,i think there is a big difference.
 
Huyo mwanaume atakuwa hanipendi labda kama atakuwa ameona vidalili vya mimi kuutaka huo mchezo. Ukiwa tegemezi halafu ukakosa msimamo utafanyiwa mambo mengi ya kukera. Wadada waepuke hapo. Kuna mdada wa chuo alibwagwa na njemba yake, hapo hapo akazimia ikabidi awahishwe hospitali, bro wangu akaongea nae kulikoni? Yule dada akamwambia ukweli bro kwamba anamtegemea jamaa kwa kila kitu na pale alipo anadaiwa ada ya chuo na pocket money imeisha. Kitendo cha kuachwa inamaana maisha yake yote yamevurugika maana hatopata hizo huduma. Akamwomba bro afanye juu chini amuombee msamaha warudiane.

aiseee!so sad
 
Hhmm Mumy what diference does "mkataba rasmi" make when it comes to being tegemezi??Disavantage si zile zile?Au huo mkataba unafanya hizo abuse na nduguzi ziwe stahiki ya mtegemezi?

Hapana Lizzy sikumaanisha hivyo, mkataba rasmi kwangu unamaanisha akisaidia ndugu zangu anawajibika kwani naye anahesabiwa kama sehemu ya familia so hata hatowezakuja na sentensi za 'kama hutaki nilipe nilichomgharamia flani' wala nikimgomea naakinilazimisha nina sehemu ya kushtakia. Haipunguzi tegemezi bali inakupa ile haki ya kutegemea/tegemewa.
 
Hivi hili jambo linaweza kuwekwa kwenye negociation?
Duh, mwanaume anayethubutu hata kukutamkia hili ni kumsamehe bure na kuachana naye, bwabwa ni bwabwa tu liwe linakamua au kukamuliwa.

Hebu tuchukulie kwamba, una mwanaume ambaye hamjaoana, lakini ndiye unayemtegemea kwa kila kitu. Amekuwa akiwasaidia sana ndugu zako ili wafikie malengo yao katika maisha, na anajitahidi sana kukupa karibu kila kitu, unachohitaji katika maisha.

Lakini………… Mwanaume huyu anaanza mchezo wa kutaka mfanye mapenzi kinyume na maumbile. Anataka jambo hilo kwa njia ambayo anaonesha kabisa kwamba lisipotendeka mtaachana, na huduma zote ulizokuwa ukifaidika nazo wewe na ndugu zako zitakoma. Hebu niambie, kama ni wewe ungefanyaje kwenye hili?
 
Kusema ukweli ukishakubali kuwa tegemezi umekubali mengi tu bila kujua.the moment unakubali kumtwisha mzigo wa kuwasaidia ndugu zako mwanaume/mke ambaye hamna mkataba rasmi unajiexpose kwenye utegemezi, abuse and the alike.
MJ1 with due respect naomba nikuulize,hivi jambo ambalo watu wawili,adults,in their privacy,with mutual consent bila undue pressure,wanaamua kufanya,wanalifurahia na wote kukojoa,sisi wengine linatuhusu nini,hiyo abuse inatoka wapi?
 
MJ1 with due respect naomba nikuulize,hivi jambo ambalo watu wawili,adults,in their privacy,with mutual consent bila undue pressure,wanaamua kufanya,wanalifurahia na wote kukojoa,sisi wengine linatuhusu nini,hiyo abuse inatoka wapi?

Darling kama nimemwelewa Mtambuzi si kuwa wote wawili wanafurahia!bali kuna mmoja analazimishwa au mie sijaelewa wajameni?
 
Hapana Lizzy sikumaanisha hivyo, mkataba rasmi kwangu unamaanisha akisaidia ndugu zangu anawajibika kwani naye anahesabiwa kama sehemu ya familia so hata hatowezakuja na sentensi za 'kama hutaki nilipe nilichomgharamia flani' wala nikimgomea naakinilazimisha nina sehemu ya kushtakia. Haipunguzi tegemezi bali inakupa ile haki ya kutegemea/tegemewa.

Labda hatotamka hiyo "sitomlipia fulani" ila wanake hua wanakua na hofu ya kukasirikiwa kisha kusitishiwa hayo matumizi yao na ndugu.Ndio maana mtu yupo radhi kufanya mambo aliyowahi kukana hatoweza. . .

Tena mbaya zaidi waliopo kwenye ndoa hata hawahitaji kutishiwa. . .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom