Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda hatotamka hiyo "sitomlipia fulani" ila wanake hua wanakua na hofu ya kukasirikiwa kisha kusitishiwa hayo matumizi yao na ndugu.Ndio maana mtu yupo radhi kufanya mambo aliyowahi kukana hatoweza. . .
Tena mbaya zaidi waliopo kwenye ndoa hata hawahitaji kutishiwa. . .
hapo nakupata dear,undue pressure, anaona nikikataa itakuwa soo,hapo kweli,na anayemlazimisha mwenzie katika hili ni haramia,hafai kabisa,na afilisike aokote makopo.Darling kama nimemwelewa Mtambuzi si kuwa wote wawili wanafurahia!bali kuna mmoja analazimishwa au mie sijaelewa wajameni?
Naomba ufafanuzi toka kwa akina ME and HE kabla sijaendelea kuchangia mengi.
Kwa nini mwapenda O? Siriazily
Labda mkitujiza twaweza panda njia ya kuwasaidia kirahisi zaidi
hapo nakupata dear,undue pressure, anaona nikikataa itakuwa soo,hapo kweli,na anayemlazimisha mwenzie katika hili ni haramia,hafai kabisa,na afilisike aokote makopo.
Bishanga yote haya yalitabiriwa, kama wewe ni msomaji wa biblia nenda kasome Kumbukumbu la Torati, mlango wa 28, yote yatendekayo sasa yalishatabiriwa.hapo nakupata dear,undue pressure, anaona nikikataa itakuwa soo,hapo kweli,na anayemlazimisha mwenzie katika hili ni haramia,hafai kabisa,na afilisike aokote makopo.
Yeahhhh ni tegemezi sana tu....sema tu sio wa kifedha.Ni kweli Lizzy but hiyo yote inatokana na kujiamini, kujitambua kwa mwanamke mwenyewe. Mwanaume akitaka kufanya ujinga wake kwa mkewe atataka tuhaijalishi ni tegemezi au la! Na mwanamke asitejiaminiwhether ni tegemezi au sivyo bado atafanyiwa manyanga hayo tu. Kuendewa kinyume na maumbile hakuna tofauti na kupigwa,je unadhani wanaopigwa na waume zao na kudharauliwa ni tegemezi peke yao??!
Yeahhhh ni tegemezi sana tu....sema tu sio wa kifedha.
Yawezekana akawa tegemezi wa kimawazo. . . . hawezi kujiamulia kitu mwenyewe.Hata kama ni kibaya atafanya alimradi fulani ndo kasema.
Au tegemezi wa kihisia. . .hujaona mtu anapigwa yeye,anacheatiwa yeye, ananyanyaswa yeye na anajua kabisa hatendewi haki ila yeye ndio anaeomba msamaha?Na mwenzake anaona sifa kuombwa yeye msamaha?
Yote hio inatokana na utegemezi. . . kwasababu utegemezi wa aina yoyote ule unamnyima mtu uhuru
/heshima toka kwa anaowategemea na kadhalika.We unadhani kwanini mume anaweza kumnyanyasa/kumtaka mkewe mwenye kazi nzuri afanye mambo ya ajabu?Nini kinamfanya ajiamini hivyo? Jibu ni kwamba anajua mkewe anamtegemea. . . hata kama sio kifedha.
za siku Husn?
TF hajambo?
Hayo sio mapenzi ni biashara,i think there is a big difference.
Lakini tegemezi ilowekwa hapa ni ya mali, kusomesha ndugu, kumtunza yeye au?
'unafikiri'TF hajambo,hahahaaaa mmefikia hapo,SL kakuzidi mbinu? Amempa nini ambacho we huna au huwezi kutoa?poa bishanga, TF nafikiri hajambo.
Kwa case hiyo ni biashara kabisa hapo, hakuna mapendo hata kidogo. Halafu cha ajabu ni kwamba huyo mwanaume ameoa, kisa cha kubwaga nacho ni kwamba mbaba aligundua huyo dada ana mwanaume mwingine wa chuo. Haya mambo jamani!!
'unafikiri'TF hajambo,hahahaaaa mmefikia hapo,SL kakuzidi mbinu? Amempa nini ambacho we huna au huwezi kutoa?
Hebu tuchukulie kwamba, una mwanaume ambaye hamjaoana, lakini ndiye unayemtegemea kwa kila kitu. Amekuwa akiwasaidia sana ndugu zako ili wafikie malengo yao katika maisha, na
anajitahidi sana kukupa karibu kila kitu,
unachohitaji katika maisha.
Lakini Mwanaume huyu anaanza
mchezo wa kutaka mfanye mapenzi kinyume
na maumbile. Anataka jambo hilo kwa njia
ambayo anaonesha kabisa kwamba
lisipotendeka mtaachana, na huduma zote
ulizokuwa ukifaidika nazo wewe na ndugu
zako zitakoma. Hebu niambie, kama ni wewe
ungefanyaje kwenye hili? [/
SIZE]
mmmmh! Acha kuchakachua hili li yuziful sredi.
naomba namba ya cm ya TF pliiiiiiiiiiiiz!!!!!!
Mtambuzi bana,hivi sa ingine huwa unafikiria nini wakati unaandaa mada? I am trying to enter your mind.I wish ningekuwa mtaalam wa telepathy,hahahahaaaa!!!!!
+255713800800.