MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 601
wewe kaka uko na mkeo mmelala chumbani (kama kawaida yako uchi kabisa).pia unaishi na mdogo wako ambaye naye ana chumba chake cha kulala.Usiku huo mkeo alikufuma na meseji toka kwa mwanamke mwingine na mkagombana.katikati ya usiku unashtuka ukiwa na maumivu makali sana.Kuangalia vizuri unaona mkeo kakamata korodani kwa nguvu sana anasema lazima akukomeshe Ma*^# mkubwa wee.unajitahidi kufurukuta wapi mke kazikamata sawasawa na maumivu hayaelezeki.mdogo wako anashtuka anaposikia yowe kali toka chumbani kwako na haraka anakuja chumbani kwako na kukuta niliyoeleza hapo juu.Naye anajitahidi kumnasua shemeji lakini shemeji kang'ang'ania korodani tu na anapojaribu kumvuta anaona kama anazidi kukuumiza.ghafla linamjia wazo anatoa zakari yake na kumtumbukizia shemeji yake na kwa mshtuko shemeji anakuachia na wewe unaamka mbio na kujiweka sawa.SWALI LINAKUJA UNGEKUWA WEWE UNGEMSHUKURU MDOGO WAKO KWA KUKUOKOA NA HILO MANAKE NAYE KAPIGA PUMP MBILI TATU KWA MKEO ??