Hahahah kabisa yani safi sana mkuu hahahKweli kabisa. kuna demu moja wa kinyarwanda alinizungusha kama miaka 2 hivi aligoma kabisa kunipa papuchi licha ya kwamba nilikuwa karibu nae mpaka kufika kulala nae kitanda kimoja. sikukata tamaa nikajifanya fala.baada ya mda nilihamia mkoa mwingine urafiki ukaendela lakini mapenzi nae yalikuwa yamekwisha.
Siku ya siku akingia kingi akaomba aje kunitembelea. nikamkubalia akaja nikamtafuna wiki mbili mfululizo nikapunguza machungu ya kunizungusha miaka 2. Wanaume tuna mahesabu marefu.
Mhusika mkuu niyeye sijui anaogopa nnMbona unamtetea sana, au ni wewe nini?
Nisiwe mnafiki yani kama utakuwa na muonekano flani hivi wa mwanamke ninayemuhitaji basi nitakusamehe mdomoni tu ili iwe rahisi kukupata kwa muda huo ila moyoni siwezi kukusamehe kamwe.So wewe kusamehe na ku start afresh ni ngumu??
Wewe sio mwanaumeMe iliwahi kunitokea kumfuma demu wangu na boy mwingine na nikamsamehe vizuri tu bila kinyongo sisi ni binadamu hatujakamalika so tunapaswa kuwa na roho ya msamaha
sijawah na ndo maana ntakua na msimamo huoMkuu, umewahi ku cheat kwenye mahusiano yako??
But the guy still anamuamini..
sio lazima kila ukweli uuweke wazi, hapo kama nafsi inakusuta ilitakiwa utubu kwa muumba wako, ila usimwambie huyo mtu wakoNi kweli kakosea ila hakuna maisha magumu kama kuishi kwa ku pretend hakyamama, kila neno unalotamka nafsi inakuambia 'you are liar'..,!!
Hahah usimtishe mwenzako hapo,jamaa kaandaa magunia mawili tu na mche wa mgomba wa kupanda juu ya majivu😃Jambo muhimu best jamaa akikwambia njoo home kuanzia sasa usiende niamini mimi kaandaa magunia si chini ya 10 kwa ajili yako 😀😀😀😀😀
Acha uboya. Huwezi kumtenganisha mtu na mamake.Mwanaume ni kama jaji au hakimu, ukikiri kosa mbele yake hakumfanyi akupende zaidi, anakuchoronga miaka gerezani mbaa!
Mwanamke kataa, hata akikwambia aliyemwambia kuwa unachepuka ni mamake, mwambie na mimi nikianza kukueleza ya mamako utaachana nae? Au kwakuwa ni mimi ndio unaninyanyasa( anza kulia).
Mwanamke, kataa kuwa mkaa.
Hahah usimtishe mwenzako hapo,jamaa kaandaa magunia mawili tu na mche wa mgomba wa kupanda juu ya majivu
nature ndio ipo hivyo, yani ndio tulivyoumbwa, si kosa letuKwanini mnakuwa na mioyo migumu hivyo while na ninyi mnasaliti na tunasamehe vizuri tu.!!
Hahahahahahaha kama hujazoea figisufigisu nafsi itakusuta tuNi kweli kakosea ila hakuna maisha magumu kama kuishi kwa ku pretend hakyamama, kila neno unalotamka nafsi inakuambia 'you are liar'..,!!
Tena hata ikifumaniwa, singizia pombe banaa, au hata bangi... Huku ukishikilia kuwa hujagegedana.... KUKIRI JAMBO HILO KUNAGHARIMU... kila kosa utakalofanya baada ya hapo LAZIMA UTAKUMBUSHWA ULICHOKIRI HADI MWISHO WA MAISHA YAKO