Nyanda Banka JF-Expert Member Joined Mar 14, 2023 Posts 330 Reaction score 1,244 Aug 22, 2025 #1 CHAKUSHANGAZA Tukio hili lilitokea Januari 25, 1995 nchini Uingereza. Ni miaka 30 na miezi kadhsa sasa.. Eric Cantona alimpiga teke la flying kick shabiki aliyekuwa akitolea maneno machafu kila alipogusa mpira!
CHAKUSHANGAZA Tukio hili lilitokea Januari 25, 1995 nchini Uingereza. Ni miaka 30 na miezi kadhsa sasa.. Eric Cantona alimpiga teke la flying kick shabiki aliyekuwa akitolea maneno machafu kila alipogusa mpira!
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,117 Reaction score 165,385 Aug 22, 2025 #2 Teke la kwendea MOI....
ELI COHEN JF-Expert Member Joined Jun 19, 2023 Posts 9,467 Reaction score 28,902 Aug 22, 2025 #3 Kungfu kick Ilimweka nje kwa muds mrefu sanaaa
A Angada JF-Expert Member Joined May 19, 2024 Posts 1,362 Reaction score 2,187 Aug 22, 2025 #4 Wakati mwingine bangi inaonewa na kupewa sifa mbaya
H Harmful JF-Expert Member Joined Feb 23, 2025 Posts 4,198 Reaction score 13,719 Aug 22, 2025 #5 Na ndio tukio analolipenda sana kwenye maisha yake na Wala hajutii mwenyew anasema alimfundisha adabu shabiki wa watu
Na ndio tukio analolipenda sana kwenye maisha yake na Wala hajutii mwenyew anasema alimfundisha adabu shabiki wa watu
Buttler Jo JF-Expert Member Joined May 26, 2025 Posts 900 Reaction score 804 Aug 22, 2025 #6 Nyanda Banka said: CHAKUSHANGAZA View attachment 3448827 Tukio hili lilitokea Januari 25, 1995 nchini Uingereza. Ni miaka 30 na miezi kadhsa sasa.. Eric Cantona alimpiga teke la flying kick shabiki aliyekuwa akitolea maneno machafu kila alipogusa mpira! Click to expand... Haha!! Noma sana hii.. Maamae!
Nyanda Banka said: CHAKUSHANGAZA View attachment 3448827 Tukio hili lilitokea Januari 25, 1995 nchini Uingereza. Ni miaka 30 na miezi kadhsa sasa.. Eric Cantona alimpiga teke la flying kick shabiki aliyekuwa akitolea maneno machafu kila alipogusa mpira! Click to expand... Haha!! Noma sana hii.. Maamae!
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,496 Reaction score 185,685 Aug 24, 2025 #7 Ni sawa tu... Cc: Mahondaw