MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 705
Huyo binti ALIMTAKA mwenyewe, kwani alimtumia sms kwamba ana "something special" ya kumpa. Inaonekana dada mtu alimzimikia.
Sishabikii ufuska, lakini wote wanawajibika kwa pamoja. Naona lawama zimezidi upande mmoja tu.
Huyo kaka asingeshawishika kama asingewashiwa "taa ya kijani". Ukiwa kwenye junction, kama taa za kuongoza magari ni "nyekundu" wala huthubutu, labda uwe fisadi. Na siku hizi mafisadi barabarani wameongezeka sana, hata kama taa yenyewe ni ya "mama mtu" wao wanakwea tu! Na inawezekana mama mtu hajapata muda mrefu, lakini wao hawajali.... ufuska, ufisadi.... hizi ni alama za nyakati za mwisho, tukae chonjo, kiama kinakuja!
Du! Dunia imekwisha!
Sishabikii ufuska, lakini wote wanawajibika kwa pamoja. Naona lawama zimezidi upande mmoja tu.
Huyo kaka asingeshawishika kama asingewashiwa "taa ya kijani". Ukiwa kwenye junction, kama taa za kuongoza magari ni "nyekundu" wala huthubutu, labda uwe fisadi. Na siku hizi mafisadi barabarani wameongezeka sana, hata kama taa yenyewe ni ya "mama mtu" wao wanakwea tu! Na inawezekana mama mtu hajapata muda mrefu, lakini wao hawajali.... ufuska, ufisadi.... hizi ni alama za nyakati za mwisho, tukae chonjo, kiama kinakuja!
Du! Dunia imekwisha!