Gudboy
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 867
- 77
- Thread starter
- #61
kaka kwanza hautaelewana nae hata kidogo, na pia jinsi anavyojali yupo tayari kwa lolote, sema kwa kuwa nayajali maisha yake ya baadae ndo maana huwa nampotezea hata kuwasiliana nae, mtoto understanding. kwanza yeye ndio kanibaka mimi, mbona hunishauri nikafungue mashtaka? mimi pia nilikua mwanafunzi na yeye ndio kanitega. na kwa nini hakuna kesi za wanaume wanaodai kubakwa na akina dada ilhali na wao huwa wanabakwa kama nilivyobakwa mimi?Ngoja nimtafute huyo binti Moro sec najua nitampata tu alafu naorganize ufunguliwe mashtaka ya kumega kinguvu huyu binti naweza sema ulimbaka alafu tunapima virusi wote wawili akibainika anavyo basi itabidi uozee jela tu maana hakuna haja ya kusikiliza kesi umesha mwaribia maisha huyu binti.