Ingekua vizuri mitani ya UE Vyuo Vikuu iwe inatungwa na kusahihishwa na TCU

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Aug 28, 2020
2,204
2,083
Naomba rejea kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu.

Kama tunavyojua kuna baadhi ya vyuo hapa Tanzania vimekua vikigawa ufaulu wa bure kwa wanafunzi wao na kuwafanya waonekane wamefaulu sana na kuhitimu na ma GPA makubwa ambayo hayaendani na uwezo walionao kichwani.

Pia kuna baadhi ya wanafunzi wamekua wakitoa rushwa ili tu wafaulu vizuri katika mitihani yao. Hivyo kumekua na udanganyifu katika baadhi ya matokeo ya wanafunzi wa vyuo vikuu.

Hivyo basi ili kuondoa matatizo haya pamoja na kuleta usawa katika ufaulu mchakato mzima wa kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani ya mwisho wangekabidhiwa TCU.

Poleni wana vyuo vya kata kwa huu uzi, ndio umefika hivyo.
 
Katika mataifa mengine, mitihani hutahiniwa na wahadhiri wa vyuo vikuu viwili tofauti vinavyofundisha masomo yanayoendana. Kwa mfano, Mitihani ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam inasahihishwa na wahadhiri wa chuo chao na wa chuo kingine kama, Chuo Kikuu cha Mzumbe. Kwa sasa nadhani ni Thesis/Dissertations pekee katika shahada za Uzamili na Uzamivu, ndio wanafanya hivi.
 
Katika mataifa mengine, mitihani hutahiniwa na wahadhiri wa vyuo vikuu viwili tofauti vinavyofundisha masomo yanayoendana. Kwa mfano, Mitihani ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam inasahihishwa na wahadhiri wa chuo chao na wa chuo kingine kama, Chuo Kikuu cha Mzumbe. Kwa sasa nadhani ni Thesis/Dissertations pekee katika shahada za Uzamili na Uzamivu, ndio wanafanya hivi.
Vipi chuo cha kata pale Udom, hawafanyi hivyo?
 
Ni kweli kabisa yaaani hawa jamaa wanaitwa lecture wengi wao unakuta anasahihisha kwa jinsi anavyo jisikia Kuna huyo mmoja alikuwa anatufundisha yaaani kwasababu alituchukia basi usahihishaji ulikuwa mbovu tukamuuliza akadai kwasababu atupo punctual na muda
 
Katika mataifa mengine, mitihani hutahiniwa na wahadhiri wa vyuo vikuu viwili tofauti vinavyofundisha masomo yanayoendana. Kwa mfano, Mitihani ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam inasahihishwa na wahadhiri wa chuo chao na wa chuo kingine kama, Chuo Kikuu cha Mzumbe. Kwa sasa nadhani ni Thesis/Dissertations pekee katika shahada za Uzamili na Uzamivu, ndio wanafanya hivi.
Mkuu dissertation husaishwa na vyuo Cha ndani na nje ila matokeo ya wa chuo Cha nje udsm huwa hawataki kwahyo internal examiner ka analakukukomoa ndio sehemu yao. Hyo ya mark's ya nje hawakupi wanakupa marks ndogo ya wa ndani.
 
Inawezekana mbona sema hajapatikana mwana siasa mmoja wabadilishe sheria ya TCU, kama afya imewezekana under diploma hata uko inawezekana.

Ila kuna vigogo watashindwa kupata vyeti vya
 
University education haipo kwa ajili ya kuwalinganisha wanafunzi ila ni kwa ajili ya kutoa watu competent kwenye soko la ajira. Hiyo GPA ni kipimo cha ufaulu tu kwa mwanafunzi sio kipimo cha ubora wa mwanafunzi kwenye utendaji kazi ndio maana taasisi na makampuni hawatumii GPA pekee kuajiri.

*Vipi mkuu unawaonea gere wenye first class nini?
 
Solution kusiwe na mitihani ya eu coz work tu zinatosha tatizo bongo complication nyingi level ya chuo kikuu mwanafunzi anafundishwa kazi sio kujibu mitihani. lengo la chuo ni zile practicals ziwe nyingi na presentations problem solving basi sasa unakuta mwanafunzi yuko stressed balaa na mitihani.
 
University education haipo kwa ajili ya kuwalinganisha wanafunzi ila ni kwa ajili ya kutoa watu competent kwenye soko la ajira. Hiyo GPA ni kipimo cha ufaulu tu kwa mwanafunzi sio kipimo cha ubora wa mwanafunzi kwenye utendaji kazi ndio maana taasisi na makampuni hawatumii GPA pekee kuajiri.

*Vipi mkuu unawaonea gere wenye first class nini?
GPA ni kipimo cha ufaulu tu kwa mwanafunzi sio kipimo cha ubora wa mwanafunzi kwenye utendaji kazi ndio maana taasisi na makampuni hawatumii GPA pekee kuajiri.

NAKUBALIANA NA WEWE! Wengi huhisi GPA ni kipimo!
 
Mkuu dissertation husaishwa na vyuo Cha ndani na nje ila matokeo ya wa chuo Cha nje udsm huwa hawataki kwahyo internal examiner ka analakukukomoa ndio sehemu yao. Hyo ya mark's ya nje hawakupi wanakupa marks ndogo ya wa ndani.
Uandishi wako una matege
 
ww njoo hapa UDOM school of medicine and dentistry/ School of nursing and public health uone watu wanvyokula shule!

Big up Dr Mchonde unafanya tuwe na shule Kichwani
 
Solution kusiwe na mitihani ya eu coz work tu zinatosha tatizo bongo complication nyingi level ya chuo kikuu mwanafunzi anafundishwa kazi sio kujibu mitihani. lengo la chuo ni zile practicals ziwe nyingi na presentations problem solving basi sasa unakuta mwanafunzi yuko stressed balaa na mitihani.
Hii hapana, mitihani inafanywa duniani kote tena migumu, hivi umewahi fanya mitihani ya wazungu wewe, nakwambia hiyo ya kwetu miepesi.
 
Back
Top Bottom