Info about the Female Condom

Hivi WoS na NN mna nini kati yenu?

Mbona kama . . . . mada fulani fulani mnawindana sana? Ama?
Hata mi sijui bana... imefikia mahali nikikatiza nikimuona huyu ndugu hata kwa mbali nataka kukatiza barabara tusikutane lakini kiwanja chenyewe kidogo hakuna jinsi .Itabidi tupigane vikumbo tu ivo ivo.
 
Hata mi sijui bana... imefikia mahali nikikatiza nikimuona huyu ndugu hata kwa mbali nataka kukatiza barabara tusikutane lakini kiwanja chenyewe kidogo hakuna jinsi .Itabidi tupigane vikumbo tu ivo ivo.
achana na ngabu hana adabu...mie na wewe damu damu..
 
Hata mi sijui bana... imefikia mahali nikikatiza nikimuona huyu ndugu hata kwa mbali nataka kukatiza barabara tusikutane lakini kiwanja chenyewe kidogo hakuna jinsi .Itabidi tupigane vikumbo tu ivo ivo.

Ooooh come on WoS...it's like that now?
 
Ooooh come on WoS...it's like that now?

NN u r very unpredictable.Hata mtu ajitahidi vipi hukawii kubadilika kama chameleon.Hebu badilika basi bana watu wajisikie huru na wawe na amani!
Amani ni kitu kizuri au wewe unasemaje?
 
WOS
Asante kwa hili somo ila naona hizi kondomu za kike kwa maumbile yetu ni kazi sana kuzitumia. Yaani jinsi ya kuzipachika tu ni shughuli.
Hivi hizo pepeta zinanunuliwa kweli?
 
NN u r very unpredictable.Hata mtu ajitahidi vipi hukawii kubadilika kama chameleon.Hebu badilika basi bana watu wajisikie huru na wawe na amani!
Amani ni kitu kizuri au wewe unasemaje?

WoS..I'm a new person...can't you tell? I've been making an effort to reach out to you...and be nice and cordial to you....

It's a new day and I love peace.....
 
WoS..I'm a new person...can't you tell? I've been making an effort to reach out to you...and be nice and cordial to you....

It's a new day and I love peace.....

If u mean it..itakuwa poa sana.
Hebu fanana na hiyo Avatar yako basi jamani - the Epitome of innocence!
 
THAT BOY IN UR AVATAR kama unafanana hivyo basi umekuwa humtendei haki.

Hahahahahaaa...you just can't bring urself up to saying it huh...Lol...it's all good. But seriously, I'm not as bad as most people think I am...I'm just misunderstood...but today is a new day and bygones are bygones as far as I'm concerned
 
WOS
Asante kwa hili somo ila naona hizi kondomu za kike kwa maumbile yetu ni kazi sana kuzitumia. Yaani jinsi ya kuzipachika tu ni shughuli.
Hivi hizo pepeta zinanunuliwa kweli?
kama hizo ni mzozo kuzivaa.....na jamaa wako aan aleji na za kiume mna ji protect vipi?
alafu sijaona wanawake wakilipigia kelele hili la ndomu zao kuwa kikwazo wakati wa kujaamiana......
 
WOS
Asante kwa hili somo ila naona hizi kondomu za kike kwa maumbile yetu ni kazi sana kuzitumia. Yaani jinsi ya kuzipachika tu ni shughuli.
Hivi hizo pepeta zinanunuliwa kweli?

BJ,
Ni kweli..si unajua tena linapokuja swali la vifaa vya wanawake inakuwaga shughuli..hivi ni kwamba hakuna wanawake wengi kwenye R&D hadi washindwe kutengeneza kitu murua kinachomfaa mwanamke?!sijui aisee.
Hizo pepeta sijui kama zinanunuliwa ila najua zinasambazwa sana kwenye maofisi hasa ya kimataifa - ukienda washrooms utazikuta tele... kama wanawake wanazichukua kutumia, hiyo ni ishu nyingine.
 
kama hizo ni mzozo kuzivaa.....na jamaa wako aan aleji na za kiume mna ji protect vipi?
alafu sijaona wanawake wakilipigia kelele hili la ndomu zao kuwa kikwazo wakati wa kujaamiana......
Umesema kitu mtu wangu.
Wanawake kupigia kelele - si unajua tena kwenye maswala ya chumbani sauti ya mwanamke ni ndogo sana regardless ya uelewa, hali ya uchumi n.k.Mwanaume ana nguvu zaidi kusema, kukubali au kukataa.Ndiyo maana mwaka 2001 kama sijakosea, kauli mbiu ya siku ya UKIMWI duniani ilikuwa " mwanaume aweza kuleta mabadiliko" katika kupambana na HIV/UKIMWI.Mwanaume asipokuwa na mkwala basi mambo yanakuwa sawa.
hEBU TUAZIMIE BASI NYIE WAKAKA kama wewe YoYo na wenzako muanze kuhamasisha wapendwa wenu kutumia hizo kinga.Pengine JF itakuwa imeleta mapinduzi kiasi katika mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI pamoja na mimba zisizotarajiwa na magonjwa mengine.
 
kama hizo ni mzozo kuzivaa.....na jamaa wako aan aleji na za kiume mna ji protect vipi?alafu sijaona wanawake wakilipigia kelele hili la ndomu zao kuwa kikwazo wakati wa kujaamiana......

Hapo itakuwa ni shughuli inabidi kuacha kujamiiana au kuachana tu kwa wenye matatizo hayo unless ni wanandoa.
Una maanisha wanawake wengi wanasapoti kuzitumia(kuzitangaza) au wanazivaa hizi pepeta na care?
 
BJ,
Ni kweli..si unajua tena linapokuja swali la vifaa vya wanawake inakuwaga shughuli..hivi ni kwamba hakuna wanawake wengi kwenye R&D hadi washindwe kutengeneza kitu murua kinachomfaa mwanamke?!sijui aisee.
Hizo pepeta sijui kama zinanunuliwa ila najua zinasambazwa sana kwenye maofisi hasa ya kimataifa - ukienda washrooms utazikuta tele... kama wanawake wanazichukua kutumia, hiyo ni ishu nyingine.

Kweli tunahitaji version nyingize za hizo pepeta ambayo ni rahisi kuvaliwa na watumiaji, hope R&D zitasaidia kama kuna wanaoona hili tatizo. nadhani hilo ndo tatizo kubwa linafanya wanawake wasizivae hizi zana zetu za sasahivi.
Sishangai kama hazinunuliwi ukiacha kuzitangaza bado ugumu uko palepale kwenye kuzitumia, very complicated!
 
Jamani kuuliza si ushamba. Je mwanamme anaweza kununua hiyo condom na kula nayo uroda bila mwanamke?
 
Jamani kuuliza si ushamba. Je mwanamme anaweza kununua hiyo condom na kula nayo uroda bila mwanamke?

Check posti namba 16 by Yo Yo,angalia clip yenye demonstration jinsi ya kuitumia hiyo condom ya kike. Halafu unaweza kupata jibu kwa kujionea.
Binafsi nadhani huwezi kuitumia bila mwanamke maana inatakiwa ivalishwe kwenye kiungo cha mwanamke.
 
Mnajifanya watakatifu kutumia lugha za vificho. Eti kiungo cha kike. Nipeni mchanganuo hapo
 
Back
Top Bottom