Tindikali
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 2,129
- 2,914
Jaji wa Tume kasema anataka amsikilize Polepole. Lakini kakimbilia kukanusha.
Kwa hiyo Pole pole akim convince atabadili mawazo ?
Na unakuaje hauko updated na suala la idara yako ambalo nchi inalijadili ? Asubuhi na mapema angewaagiza vijana wa hapo ofisini wamuonyeshe hizo dakika 10 ambazo Polepole kaongelea miwaya ya CCM.
Hana exposure Jaji mzima masikini ya Mungu, hajui ku handle public inquries and news controversies. Ulaya Rais anakutmua. Yani aabike kwa saab wewe hujui kuna nini kinasemwa mtaani ???
Anyhow, nawasamehe. Walishazoea kutawala katika mazingira tofauti, nch tofauti, siku hizi watu wameamka, wanahabari wameamka amka, wanaibua ma controversies na ukosoaji na kuhoji.
Kwa hiyo Pole pole akim convince atabadili mawazo ?
Na unakuaje hauko updated na suala la idara yako ambalo nchi inalijadili ? Asubuhi na mapema angewaagiza vijana wa hapo ofisini wamuonyeshe hizo dakika 10 ambazo Polepole kaongelea miwaya ya CCM.
Hana exposure Jaji mzima masikini ya Mungu, hajui ku handle public inquries and news controversies. Ulaya Rais anakutmua. Yani aabike kwa saab wewe hujui kuna nini kinasemwa mtaani ???
Anyhow, nawasamehe. Walishazoea kutawala katika mazingira tofauti, nch tofauti, siku hizi watu wameamka, wanahabari wameamka amka, wanaibua ma controversies na ukosoaji na kuhoji.