Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 6,196
- 2,793
🔹 Kuandika herufi kubwa au ku bold ni ishara ya kupayuka au pumba
🔹Jiulize kwa nini Ulaya ni ruksa kujenga misikiti , kuhubiri uislam na hawajali MKRISTU akisilimu
🔹 Kwa nini nchi zs kiarabu ni kosa la jinsi kujenga kanisa, kuhubiri ukristu, kuvaa msalaba au kubeba biblia? Ni nani mwenye chuki na mwenzake?
Wewe kweli bado ni kijana wa sunday school , hivi huelewi uarabuni kuna Wakristo kwa mamilioni na kuna makanisa yao ??
Unafikiri huko ulaya ni rahisi hivyo kujenga msikiti ?? Kakudanganya nani ??
Misikiti mingi ni makanisa yanauzwa kwa kukosa wateja na kushindwa kuyahudumia majengo na ndio waislamu wanayanunua na kuyafanya misikiti. Makanisa mengine yamegeuzwa baa , Wazungu wameushtukia ukristo kuwa ni utapeli wanayahama makanisa