India: Mwanaume abeba mwili wa mkewe Km 12

India: Mwanaume abeba mwili wa mkewe Km 12

blackberry m

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
563
Reaction score
415
MWANAUME mmoja kutoka katika familia maskini inayoishi mjini Bhawanipatna katika jimbo la Orissa nchini, amelazimika kuubeba mwili wa mkewe begani, baada ya hospitali kushindwa kutoa gari la kubebea mwili huo.

Dana Majhi alikutwa na masahibu hayo, baada ya aliyekuwa mke wake, Amang kufariki dunia katika hospitali ya wilaya, kutokana na kuugua kwa muda mrefu ugonjwa wa Kifua Kikuu.

Mara baada ya mkewe kufariki, Majhi (42) alianza taratibu zote za kusafirisha mwili wa mke wake, kwa kuulizia gari maalum lililotolewa na Serikali kwa ajili ya shughuli hizo.

Cha ajabu, uongozi wa hospitali hiyo ulimjibu kuwa gari hilo halipo hivyo kumlaimu Majhi kuuandaa mwili wa mkewe na kuanza kuubeba, kuelekea kijiji kwake ambako kuna umbali wa kilometa 60 kutoka hospitalini hapo.

Mara baada ya Majhi kukamilisha kuuandaa mwili wa mke wake, aliianza safari ya kuelekea kijijini kwake Melghar, huku akiwa ameubeba mwili huo begani pamoja na kusindikizwa na mwanae wa kike mwenye umri wa miaka 12, Chaula. Hata hivyo, uongozi wa hospitali hiyo, ulikana kumnyima gari la kubebea maiti mwanaume huyo maskini.

Akizungumza kuhusu hilo, Ofisa mmoja wa hospitali hiyo, B Brahma alisema mwanamke huyo alifikishwa hospitalini hapo Jumanne mchana na kufariki siku hiyo hiyo, na mume wake kuubeba mwili wa mkewe pasina kuutaarifu uongozi wa hospitali hiyo.

“Mwanamke huyo aliyekuwa akisumbuliwa na Kifua Kikuu (TB), alifikishwa hapa Jumanne mchana, na kufariki dunia siku hiyo hiyo. Cha ajabu, mumewe aliamua kuubeba mwili wa mkewe, pasipo kutoa taaria kwa uongozi wa hospitali,” alisema Brahma.

Mwili.jpg
 
too sad......too sad......too sad......too sad......too sad......too sad......too sad......

odisha-man_650x400_61472063411-650x400.jpg


A tribal man in Odisha’s Kalahandi district carried the body of his wife on his shoulders as the hospital authorities did not provide a mortuary van or an ambulance.

The incident occurred at the district headquarters hospital at Bhawanipatna where 42-year-old Amang Dei was being treated for tuberculosis and died, Odisha TV reported.

Despite all his efforts, Dei’s husband Dana Manjhi could not get any help from the hospital authorities. Thus, he wrapped his wife’s body in a cloth and started walking to his village Melghara in Rampur block, about 60 km from Bhawanipatna.

Manjhi, who was accompanied by his 12-year-old daughter, was spotted by some local reporters who called up the district collector and arranged for an ambulance for the remaining journey.
A tribal man in Odisha’s Kalahandi district carried the body of his wife on his shoulders as the hospital authorities did not provide a mortuary van or an ambulance.

The incident occurred at the district headquarters hospital at Bhawanipatna where 42-year-old Amang Dei was being treated for tuberculosis and died, Odisha TV reported.

Despite all his efforts, Dei’s husband Dana Manjhi could not get any help from the hospital authorities. Thus, he wrapped his wife’s body in a cloth and started walking to his village Melghara in Rampur block, about 60 km from Bhawanipatna.

Manjhi, who was accompanied by his 12-year-old daughter, was spotted by some local reporters who called up the district collector and arranged for an ambulance for the remaining journey.

Odisha_tribal_man_Kalahandi.jpg
 
too sad......too sad......too sad......too sad......too sad......too sad......too sad......

View attachment 387536

A tribal man in Odisha’s Kalahandi district carried the body of his wife on his shoulders as the hospital authorities did not provide a mortuary van or an ambulance.

The incident occurred at the district headquarters hospital at Bhawanipatna where 42-year-old Amang Dei was being treated for tuberculosis and died, Odisha TV reported.

Despite all his efforts, Dei’s husband Dana Manjhi could not get any help from the hospital authorities. Thus, he wrapped his wife’s body in a cloth and started walking to his village Melghara in Rampur block, about 60 km from Bhawanipatna.

Manjhi, who was accompanied by his 12-year-old daughter, was spotted by some local reporters who called up the district collector and arranged for an ambulance for the remaining journey.
A tribal man in Odisha’s Kalahandi district carried the body of his wife on his shoulders as the hospital authorities did not provide a mortuary van or an ambulance.

The incident occurred at the district headquarters hospital at Bhawanipatna where 42-year-old Amang Dei was being treated for tuberculosis and died, Odisha TV reported.

Despite all his efforts, Dei’s husband Dana Manjhi could not get any help from the hospital authorities. Thus, he wrapped his wife’s body in a cloth and started walking to his village Melghara in Rampur block, about 60 km from Bhawanipatna.

Manjhi, who was accompanied by his 12-year-old daughter, was spotted by some local reporters who called up the district collector and arranged for an ambulance for the remaining journey.

View attachment 387537
Dad
 
Mimi mwanadamu ni nini hata nijidai?Kwani mimi nilieumbwa kwa mwili wa nyama na pumzi ya msaada ni nani hata nilewe madaraka?
Mimi ni msafiri,Mpita njia na mpangaji katika Ulimwengu huu uliojaaa dhiki na taabu.

Nina nini mimi?Eti nina jeshi na pesa?Hapana...Hivyo vyote havitanizuia kufa na kuoza na kuliwa na funza.
Nina magari na nyumba za kifahari kushinda wenzangu?Hapana...Hata moja sitazikwa nayo,Yote na ufahari wake nitaziacha nyuma.

Sasa mimi ni nani eti??Mimi si kitu,mimi si lolote...Nijapopita katikati ya majeshi yanayonitii na watu wanaoniogopa...bado mimi si lolote!!Mimi ni fukara na masikini wa mwili na roho.. kiburi na majivuno ya ubinadamu yananidanganya.

Mimi ni mavumbi,katika mavumbi nimetoka,na mavumbini nitarudi....Nitaoza kwa kuliwa na funza...Kilo kilicho changu katika mwili huu wa nyama ktapukutika...Utabaki unywele tu katika shimo la kaburi ili kutimiza hesabu mbele za yeye aliye mkuu kuliko wote.

Thamani yangu si lolote...Nisijivune,Nisijigambe,Nisinyanyase,Nisihusudu vilivyo vya ulimwengu na kuyaacha maisha yasiyo na kikomo.Eee Mungu unirehemu...Kwa kuwa mimi ni mdhambi.
 
Back
Top Bottom