Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Hao ndo wazuri mkuu...sio kila siku gubu ..khaMkuu umefurahi sana.š¤£.
Mzee akipooza sana anakuwa kama msukule au sivyo?
Hao ndo wazuri mkuu...sio kila siku gubu ..khaMkuu umefurahi sana.š¤£.
Mzee akipooza sana anakuwa kama msukule au sivyo?
Huyu mwanamke inaonesha anapenda mikikimikiki ya maisha ktk ndoa.Tatizo kubwa kagundua jamaa hana mchekupo hata wa kusingiziwa.
Go to India and convince this woman to get married to you or make an exchange.For sure she will regret.CHAULA RICH,
Let's exchange
Si mkong'oto tu, watamgh'echa.Kha!,kha!,huko atakutana na mkong'oto wa kufa mtu.
Hautaki nyumbani kila siku vurugu kama ukanda maalum wa polisi?Hao ndo wazuri mkuu...sio kila siku gubu ..kha
Mleta mada hujui maana ya kunyanyasa.Ukistaajabu ya Musa, utaona ya firauni. Wakati Wanawake wengine wakilia na wanaume wanaowanyanyasa, huko India Mwanamke mmoja amedai talaka kwa sababu mumewe hamnyanyasi, kwani hata akifanya kosa mumewe humsamehe kitu ambacho mwanamke huyo anadai kuwa hapendi.
Lakini jamaa angekuwa anampa dozi asubuhi, mchana, jioni na usiku asingelalamika.Mleta mada hujui maana ya kunyanyasa.
Huyu binti anachomaanisha,mumewe hamfokei/hamkaripii /hampigi hivyo anahisi hapendwi.
Kwa hiyo huko sio kumnyanyasa??.Mleta mada hujui maana ya kunyanyasa.
Huyu binti anachomaanisha,mumewe hamfokei/hamkaripii /hampigi hivyo anahisi hapendwi.