May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,162
- 8,820
Nakumbuka hata hapa nchini kuna taarifa kadhaa zinazoelezea juu ya uundwaji wa chombo hichi, na hata kumewahi kutoka lawama ni kwa nini hwapewi kibali cha kujaribu Vifaa vyao hivi.
Ingawa wanasema huwezi kujua ufanishi bila kujaribu lakini nadhani kuna mashine na mashine.
Hii imetokea India, kijana mmoja aliyekatisha masomo na kuamua kujikita kwenye kutekeleza ndoto yake ya siku nyingi ya kuunda Helikopta, amepoteza
Ingawa wanasema huwezi kujua ufanishi bila kujaribu lakini nadhani kuna mashine na mashine.
Hii imetokea India, kijana mmoja aliyekatisha masomo na kuamua kujikita kwenye kutekeleza ndoto yake ya siku nyingi ya kuunda Helikopta, amepoteza