Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Kama ilivyokuwa ikitarajiwa Paul Ince amepigwa chini kwenye kibarua chake huko Ewood Park, hiyo ni breaking news iliyopo live sasa hivi kwenye Sky sports ninapoandika hapa. Wengi hapa tulikuwa tukimuombea alipotwaa kiti hicho cha moto afanye vizuri ili awafungulie njia mameneja wengine waingereza weusi kwenye premier league, ametuharibia?