Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,670
INBOX YA MDADA.
1:I love u dear. [Gerald]
2:Nikutoe out leo.[John]
3:Huwa inaniuma sana nikikuona na wanaume wengine.[Mwambi]
4:Sweaty usisahau trip ya Bagamoyo uniambie nikupitie wapi.[MD]
5arling have u seen u're credit i sent to u.[Mboss 1]
6:Honey najitahidi kukamilisha taratibu za kuleta posa Nakupenda sana.[Evans]
7:Haloo jibu kama umeshapata[Mheshimiwa 2].
8:Baby check acount yako nimekuwekea kitu.[Chairman]
INBOX YA MKAKA.
1:Salio lako halitoshi kukamikisha ombi lako.[Tigo pesa]
2:Ukinitumia text nyingine namwambia rafiki yako.[Jane].
3:Mwanaume gani unashindwa kutoa msaada.[Patricia].
4:Unajifanya haupokei simu lakini wiki hii ni ya mwisho lipa kodi au utoke kwenye nyumba yangu.[Baba mwenye nyumba]
5:Kaka nakutegemea Ada.[Mdogo wangu Jack]
6:Sijaziona siku zangu napenda ujue hilo.[Jirani house girl]
7:Mwanangu Njaa inatuua usitusahau, mungu Akubariki.[Mama]
Hapo wewe kama ni mtoto wa kiume lazima kichwa ichemke.
Thats why men are Dying young wanawake mtuhurumie.
.
1:I love u dear. [Gerald]
2:Nikutoe out leo.[John]
3:Huwa inaniuma sana nikikuona na wanaume wengine.[Mwambi]
4:Sweaty usisahau trip ya Bagamoyo uniambie nikupitie wapi.[MD]
5arling have u seen u're credit i sent to u.[Mboss 1]
6:Honey najitahidi kukamilisha taratibu za kuleta posa Nakupenda sana.[Evans]
7:Haloo jibu kama umeshapata[Mheshimiwa 2].
8:Baby check acount yako nimekuwekea kitu.[Chairman]
INBOX YA MKAKA.
1:Salio lako halitoshi kukamikisha ombi lako.[Tigo pesa]
2:Ukinitumia text nyingine namwambia rafiki yako.[Jane].
3:Mwanaume gani unashindwa kutoa msaada.[Patricia].
4:Unajifanya haupokei simu lakini wiki hii ni ya mwisho lipa kodi au utoke kwenye nyumba yangu.[Baba mwenye nyumba]
5:Kaka nakutegemea Ada.[Mdogo wangu Jack]
6:Sijaziona siku zangu napenda ujue hilo.[Jirani house girl]
7:Mwanangu Njaa inatuua usitusahau, mungu Akubariki.[Mama]
Hapo wewe kama ni mtoto wa kiume lazima kichwa ichemke.
Thats why men are Dying young wanawake mtuhurumie.
.