Inbox ya mdada Vs inbox ya mtoto wa kiume

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,674
INBOX YA MDADA.

1:I love u dear. [Gerald]

2:Nikutoe out leo.[John]

3:Huwa inaniuma sana nikikuona na wanaume wengine.[Mwambi]

4:Sweaty usisahau trip ya Bagamoyo uniambie nikupitie wapi.[MD]

5:Darling have u seen u're credit i sent to u.[Mboss 1]

6:Honey najitahidi kukamilisha taratibu za kuleta posa Nakupenda sana.[Evans]

7:Haloo jibu kama umeshapata[Mheshimiwa 2].

8:Baby check acount yako nimekuwekea kitu.[Chairman]


INBOX YA MKAKA.

1:Salio lako halitoshi kukamikisha ombi lako.[Tigo pesa]

2:Ukinitumia text nyingine namwambia rafiki yako.[Jane].

3:Mwanaume gani unashindwa kutoa msaada.[Patricia].

4:Unajifanya haupokei simu lakini wiki hii ni ya mwisho lipa kodi au utoke kwenye nyumba yangu.[Baba mwenye nyumba]

5:Kaka nakutegemea Ada.[Mdogo wangu Jack]

6:Sijaziona siku zangu napenda ujue hilo.[Jirani house girl]

7:Mwanangu Njaa inatuua usitusahau, mungu Akubariki.[Mama]

Hapo wewe kama ni mtoto wa kiume lazima kichwa ichemke.

Thats why men are Dying young wanawake mtuhurumie.
.
 
INBOX YA MDADA.

1:I love u dear. [Gerald]

2:Nikutoe out leo.[John]

3:Huwa inaniuma sana nikikuona na wanaume wengine.[Mwambi]

4:Sweaty usisahau trip ya Bagamoyo uniambie nikupitie wapi.[MD]

5:Darling have u seen u're credit i sent to u.[Mboss 1]

6:Honey najitahidi kukamilisha taratibu za kuleta posa Nakupenda sana.[Evans]

7:Haloo jibu kama umeshapata[Mheshimiwa 2].

8:Baby check acount yako nimekuwekea kitu.[Chairman]


INBOX YA MKAKA.

1:Salio lako halitoshi kukamikisha ombi lako.[Tigo pesa]

2:Ukinitumia text nyingine namwambia rafiki yako.[Jane].

3:Mwanaume gani unashindwa kutoa msaada.[Patricia].

4:Unajifanya haupokei simu lakini wiki hii ni ya mwisho lipa kodi au utoke kwenye nyumba yangu.[Baba mwenye nyumba]

5:Kaka nakutegemea Ada.[Mdogo wangu Jack]

6:Sijaziona siku zangu napenda ujue hilo.[Jirani house girl]

7:Mwanangu Njaa inatuua usitusahau, mungu Akubariki.[Mama]

Hapo wewe kama ni mtoto wa kiume lazima kichwa ichemke.

Thats why men are Dying young wanawake mtuhurumie.
.
 
hapo kwenye inbox ya kiume..mamA alipotia neno lake pamenigusa sana...yani hii ni serious comedy...eti mwanangu njaa zinatuua huku...
 
Back
Top Bottom