King Jody
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 914
- 1,704
Habarini wandugu,
Moja kwa moja kwenye mada yetu.
Rafiki yangu mmoja aliniuliza `Hivi King Jody umewahi kunyimwa unyumba na mke wako? Nikamjibu hapana, hata mara moja, nikamwambia nipo kwenye ndoa kwa zaidi ya mika 10 sijawahi nyimwa hata mara moja hata kama tumepishana kauli nikihitaji napewa na itakuwa sehemu ya kumaliza ugomvi kati yetu.
Jamaa akaniambia aisee una bahati sana, mimi huwa nanyimwa, sababu siijui na nikipewa ni kwa masharti,
nataka niachane na mke wangu, nioe mwingine.
Wanajamii nimshauri vp huyu rafiki yangu, wewe pia unaweza kumshauri, lakini swali langu ni je, haya mambo yapo kwenye ndoa? kama yapo nini huwa chanzo?
Je, wewe umewahi kukutana na tatizo kama hili?
Tujadiliane ili tupate kujifunza.
Asanteni.
Moja kwa moja kwenye mada yetu.
Rafiki yangu mmoja aliniuliza `Hivi King Jody umewahi kunyimwa unyumba na mke wako? Nikamjibu hapana, hata mara moja, nikamwambia nipo kwenye ndoa kwa zaidi ya mika 10 sijawahi nyimwa hata mara moja hata kama tumepishana kauli nikihitaji napewa na itakuwa sehemu ya kumaliza ugomvi kati yetu.
Jamaa akaniambia aisee una bahati sana, mimi huwa nanyimwa, sababu siijui na nikipewa ni kwa masharti,
nataka niachane na mke wangu, nioe mwingine.
Wanajamii nimshauri vp huyu rafiki yangu, wewe pia unaweza kumshauri, lakini swali langu ni je, haya mambo yapo kwenye ndoa? kama yapo nini huwa chanzo?
Je, wewe umewahi kukutana na tatizo kama hili?
Tujadiliane ili tupate kujifunza.
Asanteni.