Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Acha kauli za kishamba we bwege usie na nyuma wala mbeleMimi naamini kuhama mtandao hulazimiki kumuaga balozi wala mtendaji wala huami na mabegi wala kabati.
Acha kauli za kishamba we bwege usie na nyuma wala mbeleMimi naamini kuhama mtandao hulazimiki kumuaga balozi wala mtendaji wala huami na mabegi wala kabati.
Naomba jinsi unavyojiunga kupata 1.2 gb, mbona mimi sipaoni?Mmelazimishwa huko voda.
Mimi nimehamia ttcl wala sina shida ,kwa buku napata GB1.2
Wanahisa wakubwa ni wanasiasa wakubwa wa chama tawala akiwemo MagufuliNimefuatilia sana na mimi mmojawapo wa wateja wa Vodacom nimekuwa natumia line ya chuo ambapo kwa Tsh 1,000/= nilikuwa nanunua dk 110, GB1 na sms 100 kwa siku 3, lakini sasa napata mb 500, DK 40 na sm 50 kwa siku 3.
Si hivyo kuna rafiki yangu alikuwa ananunua bando la Tsh 2,000/= dk100, GB 1 na SMS 100 kwa wiki, lakini sasa anapata MB 500, dk 70 mitandao yote, 30 voda na sms 50 kwa wiki.
Kwa hali hii inamaana VODACOM wameigomea na kutotii maelekezo ya Serikali chini ya usimamizi wa TCRA?.
VODACOM tuhurumie watanzania wenzenu kwakweli mnatuboa na kutuumiza sana. Nafikiria kuiacha line ya VODACOM na kutafuta mtandao mwingine wenye unafuu kidogo.
Vodacom wanazingua sana tunaomba tcra wawafuatilie wanatoa mabando tofauti tofauti sana hata mimi nimebakia na vifurushi vya 3000 mb 500 kwa wiki dk 70, sijui wanajionaje. Tutawahama tuNimefuatilia sana na mimi mmojawapo wa wateja wa Vodacom nimekuwa natumia line ya chuo ambapo kwa Tsh 1,000/= nilikuwa nanunua dk 110, GB1 na sms 100 kwa siku 3, lakini sasa napata mb 500, DK 40 na sm 50 kwa siku 3.
Si hivyo kuna rafiki yangu alikuwa ananunua bando la Tsh 2,000/= dk100, GB 1 na SMS 100 kwa wiki, lakini sasa anapata MB 500, dk 70 mitandao yote, 30 voda na sms 50 kwa wiki.
Kwa hali hii inamaana VODACOM wameigomea na kutotii maelekezo ya Serikali chini ya usimamizi wa TCRA?.
VODACOM tuhurumie watanzania wenzenu kwakweli mnatuboa na kutuumiza sana. Nafikiria kuiacha line ya VODACOM na kutafuta mtandao mwingine wenye unafuu kidogo.
Magu is no more bro. Means is dead!Wanahisa wakubwa ni wanasiasa wakubwa wa chama tawala akiwemo Magufuli
Nunua kupitia TPesa tamu tamuNaomba jinsi unavyojiunga kupata 1.2 gb, mbona mimi sipaoni?
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kwa buku 2 unapata GB 2 siku 3Hata airtel wamegoma pia kurudisha
Mimi nilikuwa nanunua 1.2GB, dakika 100 voda to voda na dakika 50 mitandao yote kww 3000/= sasahivi wamebadilishaNimefuatilia sana na mimi mmojawapo wa wateja wa Vodacom nimekuwa natumia line ya chuo ambapo kwa Tsh 1,000/= nilikuwa nanunua dk 110, GB1 na sms 100 kwa siku 3, lakini sasa napata mb 500, DK 40 na sm 50 kwa siku 3.
Si hivyo kuna rafiki yangu alikuwa ananunua bando la Tsh 2,000/= dk100, GB 1 na SMS 100 kwa wiki, lakini sasa anapata MB 500, dk 70 mitandao yote, 30 voda na sms 50 kwa wiki.
Kwa hali hii inamaana VODACOM wameigomea na kutotii maelekezo ya Serikali chini ya usimamizi wa TCRA?.
VODACOM tuhurumie watanzania wenzenu kwakweli mnatuboa na kutuumiza sana. Nafikiria kuiacha line ya VODACOM na kutafuta mtandao mwingine wenye unafuu kidogo.