Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
Interesting documentary worth seeing.
Mbona mnapenda kuujadili Uislam unawakwaza wapi? Si muijadili dini yenu! Mbona dini yenu imeanzia Roma wakati Yesu mwenyewe ni Muisrael??Interesting documentary worth seeing.
Aawapi umeanzia mapangoni wakati marehemu mudi ameenda kukutana na majini akitokea kwa jimama lililokuwa linamlea ambalo ndo kwa mara yakwanza lilimwita mtumeUislamu umeanzia Mbinguni.
mbingu ipi? ya ifakara?Uislamu umeanzia Mbinguni.
Uislam kama ni dini ,siyo mali ya mtu. Lazima ijadiliwe, ikosolewe ili ieleweke kama ni ya kweli au chenga. Tena usirudie kukemea watu wanaojadili dini. Dini siyo mali ya mtu. umeikuta utaiacha. Muache mwenye dini yake ailindeMbona mnapenda kuujadili Uislam unawakwaza wapi? Si muijadili dini yenu! Mbona dini yenu imeanzia Roma wakati Yesu mwenyewe ni Muisrael??
Acha upuuzi usio na tija! Sio tu ni kama bali ni dini, ni mali ya waislam, hata ukijadili huna cha kuongeza wala kupunguza, huwezi kuukosoa popote pale, hata kama ni chenga waache walochagua chenga yao wabaki nayo, Narudia tena " acheni ujinga jadilini imani yenu mnayotoana mapepo yasiyokwisha kila siku, vutu wahed!Uislam kama ni dini ,siyo mali ya mtu. Lazima ijadiliwe, ikosolewe ili ieleweke kama ni ya kweli au chenga. Tena usirudie kukemea watu wanaojadili dini. Dini siyo mali ya mtu. umeikuta utaiacha. Muache mwenye dini yake ailinde
Mbona mnapenda kuujadili Uislam unawakwaza wapi? Si muijadili dini yenu! Mbona dini yenu imeanzia Roma wakati Yesu mwenyewe ni Muisrael??
Imeanzia wapi Wakati huko Bethlehem alikozaliwa Yesu hawaikubali sanaDini yetu haikuanzia Roma.
Imeanzia wapi Wakati huko Bethlehem alikozaliwa Yesu hawaikubali sana
Na warumi hawatokei Jerusalem Zaidi ya Romania.Imeanzia Jerusalem. Soma historia ndugu; wakati Yesu Kristo akiwa duniani eneo hilo na mengine yalikuwa chini ya utawala wa Kirumi. Mnadanganywa kuwa Mtume Paulo (nemesis wenu) alikuwa Mrumi; yes alikuwa raia wa utawala wa Kirumi kama Wayahudi wote walivyokuwa ni Warumi.
Aisee...sawa mkubwa!Mtume Muhammad S,A,W hakuleta uislam bali kwani uislam umeanza kwa vizazi na vizazi Mitume na manabii kama vile Musa, Ibrahim, Zakaria, Yusuf na Issa walikuwa waislam. binadam wa kwanza muislam ni Mtume Adam A.S