nchi kama TZ kuhusishwa na jeshi la kigeni wakati kuwa miongoni mwa majeshi bora afrika tuambieni nyie Lumumba pale wanafanya nini hao wanyarwanda??jamaa waongo sana hawa, tupe ukweli mkuu kwa majina na sehemu wanazotoka walinzi wote wa jumba jeupe. tumalize utata leo