Nchi zenye majeshi ya mrengo wa uchumi na kisiasa zaidi.

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,681
46,369
Hizi ndizo nchi zenye majeshi yanayofanya biashara na kumiliki sehemu kubwa ya uchumi wa nchi wa nchi zao. Hizi nchi ukitaka biashara zako binafsi zikuendee vizuri inabidi utafute koneksheni na "godfathers" wajeda.

1. Misri
Jeshi la Misri lina mkono mrefu sana katika uchumi wa nchi hiyo. Linamiliki mahoteli makubwa, kumbi za starehe, viwanda vya cement, vyakula na bidhaa nyingine za kawaida, biashara za real estates na biashara kubwa ya silaha.

2.Pakistan
Jeshi la Pakistan lina ukwasi unaotokana na uwekezaji na biashara za kila aina nchini humo. Inakadiriwa maslahi yake ya biashara katika nchi yanaweza kufika dola billion 20.

3.Sudan.
Jeshi na wanamgambo nchini Sudan wanakadiriwa kuchangia zaidi ya asilimia 50 katika uchumi wa nchi hiyo kutokana biashara za mafuta, dhahabu, real estates na bidhaa nyingine za kawaida

4.Algeria
Nchini Algeria jeshi lina maslahi mapana katika sekta muhimu kama mafuta na nyingine nyingi na linahusika pakubwa kuamua sera za uchumi nchini humo.

5. Myanmar
Jeshi nchini huko ambapo ambako limekuwa likitawala nchi wakati wote na kupelekea vikawazo vikali vilivyoifanya nchi hiyo kuwa kama Zimbabwe ya Asia linafaidika pakubwa kupitia biashara za rasilimali za madini, maliasili na mihadarati ya Opium.
 
Hizi ndizo nchi zenye majeshi yanayofanya biashara na kumiliki sehemu kubwa ya uchumi wa nchi wa nchi zao. Hizi nchi ukitaka biashara zako binafsi zikuendee vizuri inabidi utafute koneksheni na "godfathers" wajeda.

1. Misri
Jeshi la Misri lina mkono mrefu sana katika uchumi wa nchi hiyo. Linamiliki mahoteli makubwa, kumbi za starehe, viwanda vya cement, vyakula na bidhaa nyingine za kawaida, biashara za real estates na biashara kubwa ya silaha.

2.Pakistan
Jeshi la Pakistan lina ukwasi unaotokana na uwekezaji na biashara za kila aina nchini humo. Inakadiriwa maslahi yake ya biashara katika nchi yanaweza kufika dola billion 20.

3.Sudan.
Jeshi na wanamgambo nchini Sudan wanakadiriwa kuchangia zaidi ya asilimia 50 katika uchumi wa nchi hiyo kutokana biashara za mafuta, dhahabu, real estates na bidhaa nyingine za kawaida

4.Algeria
Nchini Algeria jeshi lina maslahi mapana katika sekta muhimu kama mafuta na nyingine nyingi na linahusika pakubwa kuamua sera za uchumi nchini humo.

5. Myanmar
Jeshi nchini huko ambapo ambako limekuwa likitawala nchi wakati wote na kupelekea vikawazo vikali vilivyoifanya nchi hiyo kuwa kama Zimbabwe ya Asia linafaidika pakubwa kupitia biashara za rasilimali za madini, maliasili na mihadarati ya Opium.
JKT na Suma yake wanaingiza asilimia ngap mdau
 
Hizi ndizo nchi zenye majeshi yanayofanya biashara na kumiliki sehemu kubwa ya uchumi wa nchi wa nchi zao. Hizi nchi ukitaka biashara zako binafsi zikuendee vizuri inabidi utafute koneksheni na "godfathers" wajeda.

1. Misri
Jeshi la Misri lina mkono mrefu sana katika uchumi wa nchi hiyo. Linamiliki mahoteli makubwa, kumbi za starehe, viwanda vya cement, vyakula na bidhaa nyingine za kawaida, biashara za real estates na biashara kubwa ya silaha.

2.Pakistan
Jeshi la Pakistan lina ukwasi unaotokana na uwekezaji na biashara za kila aina nchini humo. Inakadiriwa maslahi yake ya biashara katika nchi yanaweza kufika dola billion 20.

3.Sudan.
Jeshi na wanamgambo nchini Sudan wanakadiriwa kuchangia zaidi ya asilimia 50 katika uchumi wa nchi hiyo kutokana biashara za mafuta, dhahabu, real estates na bidhaa nyingine za kawaida

4.Algeria
Nchini Algeria jeshi lina maslahi mapana katika sekta muhimu kama mafuta na nyingine nyingi na linahusika pakubwa kuamua sera za uchumi nchini humo.

5. Myanmar
Jeshi nchini huko ambapo ambako limekuwa likitawala nchi wakati wote na kupelekea vikawazo vikali vilivyoifanya nchi hiyo kuwa kama Zimbabwe ya Asia linafaidika pakubwa kupitia biashara za rasilimali za madini, maliasili na mihadarati ya Opium.
Mimi bado nawaza haya makombora ya Ikraine waliyo dungua. Hivi hawa jamaa wanatuonaje sisi?
Screenshot_20230511_002213_Twitter.jpg
 
Sema Suma JKT sijui kwann wanafanya biashara za kawaida, yan wanamiliki kampuni ya usafi, sijui ulinzi wa majumba,
Hawa ilitakiwa hizo pesa zote waweke wafungue kiwanda hata kimoja cha madawa kikubwa, au waje na viwanda vya electronics, yan wafanye vitu pvt sector imeshindwa
 
Hizi ndizo nchi zenye majeshi yanayofanya biashara na kumiliki sehemu kubwa ya uchumi wa nchi wa nchi zao. Hizi nchi ukitaka biashara zako binafsi zikuendee vizuri inabidi utafute koneksheni na "godfathers" wajeda.

1. Misri
Jeshi la Misri lina mkono mrefu sana katika uchumi wa nchi hiyo. Linamiliki mahoteli makubwa, kumbi za starehe, viwanda vya cement, vyakula na bidhaa nyingine za kawaida, biashara za real estates na biashara kubwa ya silaha.

2.Pakistan
Jeshi la Pakistan lina ukwasi unaotokana na uwekezaji na biashara za kila aina nchini humo. Inakadiriwa maslahi yake ya biashara katika nchi yanaweza kufika dola billion 20.

3.Sudan.
Jeshi na wanamgambo nchini Sudan wanakadiriwa kuchangia zaidi ya asilimia 50 katika uchumi wa nchi hiyo kutokana biashara za mafuta, dhahabu, real estates na bidhaa nyingine za kawaida

4.Algeria
Nchini Algeria jeshi lina maslahi mapana katika sekta muhimu kama mafuta na nyingine nyingi na linahusika pakubwa kuamua sera za uchumi nchini humo.

5. Myanmar
Jeshi nchini huko ambapo ambako limekuwa likitawala nchi wakati wote na kupelekea vikawazo vikali vilivyoifanya nchi hiyo kuwa kama Zimbabwe ya Asia linafaidika pakubwa kupitia biashara za rasilimali za madini, maliasili na mihadarati ya Opium.
Russia
 
Sema Suma JKT sijui kwann wanafanya biashara za kawaida, yan wanamiliki kampuni ya usafi, sijui ulinzi wa majumba,
Hawa ilitakiwa hizo pesa zote waweke wafungue kiwanda hata kimoja cha madawa kikubwa, au waje na viwanda vya electronics, yan wafanye vitu pvt sector imeshindwa
Jeshi likishakuwa linafanya biashara na kushika uchumi wa nchi huwa linavuruga kabisa siasa za kiraia. Hizo nchi zote mapinduzi ni kawaida na huwezi kuwa kiongozi au kudumu uongozini bila ridhaa ya jeshi.
 
Back
Top Bottom