themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
ATCL Na mwendokasi yote ni miradi ya serikali na kampuni zote kazi yake ni kubeba abiria ATCL Angani na Mwendokasi Ardhini, Ila ukiangalia kwa umakini Mwendokasi inahudumia mamilioni ya watu wakati Atcl Ni watu wachache sana wenye uwezo wa kuaford kupanda ndege na ndio maana Atc miaka 7 haina faida inakula hasara kila siku
Cha kushangaza serikali bado inanunua mandege kwa mabilioni na soko la abiria ni lakawaida, ila sehem yenye population ya watu sehem,Nzuri ya kupiga pesa magari zaidi ya 70 yamekufa serikali hainunui gari mpya na pesa hazijulikani zinapoenda
Haya mabilioni mnayonunua ndege mngewekeza kwenye usafiri huu wa mwendokasi mkaweka usimamizi mzuri mkashusha gari za kutosha Njia ya Gerezani,Kivukoni,Tegeta,Mbagala nawahakikishia hiyo Atc ni chamtoto
Cha kushangaza serikali bado inanunua mandege kwa mabilioni na soko la abiria ni lakawaida, ila sehem yenye population ya watu sehem,Nzuri ya kupiga pesa magari zaidi ya 70 yamekufa serikali hainunui gari mpya na pesa hazijulikani zinapoenda
Haya mabilioni mnayonunua ndege mngewekeza kwenye usafiri huu wa mwendokasi mkaweka usimamizi mzuri mkashusha gari za kutosha Njia ya Gerezani,Kivukoni,Tegeta,Mbagala nawahakikishia hiyo Atc ni chamtoto