Inawezekana kweli?

Inawezekana kweli?

Pole Sana dear..amua tu kumsahau na yataisha..maisha lazima yaendelee
 
Ni mawazo yako tu, utakavyotaka ndivyo itakavyokuwa. Ukitaka usimsahau hutamsahau, ila ukitaka kumsahau ni dakika moja. Ila mna tatizo kubwa la msingi ilikuwaje mkakaa miaka sita bila ndoa? mnabutuana tu, sometimes ni sawa tu kuachana kwa hali hiyo. Kwa upande wangu Nimeshajeruhiwa mara kadhaa tena hadi kulia machozi mwanaume mzima, lakini siku nilipojitambua nilijiona fala sana. Sasa hivi sisumbuliwi na mahusiano hata kidogo, sana sana atakayeingia anga zangu ndiye atakayelia. Nimejifunza kwenye mahusiano ni kama vita, either ushindwe au ushinde. nimebaki na kanuni moja, "If you think you cannot eat a lion do not think that a lion will not eat you".

‘atakayeingia anga zako ndiye atakayeumia’usilipize visasi boss! Love is a beautiful thing naamini tunapitia maumivu ili tuwe imara zaidi
 
Nanukuu....ukimpata mtu sahihi utamsahau...!!

But tatzo ni kuwa watu sahihi siku hizi hakuna

So kama wataka furaha kweli anza kwa kuitafuta wew mwenyew....jiweke bize...!!nenda out na marafiki...!!jiweke mbali na mazingra ya huzun au ytakaykukumbusha ya nyuma

Ila ni ngumu saana kumsahau mtu uliyempenda...!!ni ngumu saana....!!na ndo chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika siku hizi

Unesema kweli Brad kuhusu kuwa chanzo cha ndoa kuvunjika maana watu wengi wanakuwa hawakumove on au uchungu haukuwaisha, so anaoa/kuolewa kutafuta peace of mind while piece if him/her is with someone else! So sad
 
Yan nd maana siku hz ht kuish na mwanamke naogopa...!!maana mimi mwenyew nna Ex ht nmtukane vipi atanitfta tu...!!

Watu wengi huolewa kwa ajili ya maslah na umri ila mioyon mwao wanajua wenyew....!!asa ukute mume una kitambi Ex wake flat...!!nyumba yako...lkn atakuona kama mpangaji
Unesema kweli Brad kuhusu kuwa chanzo cha ndoa kuvunjika maana watu wengi wanakuwa hawakumove on au uchungu haukuwaisha, so anaoa/kuolewa kutafuta peace of mind while piece if him/her is with someone else! So sad
 
Habari vipenzi

Nina swali linanitatiza mno, nikaona ni vyema nililete huku hakika nitapata majibu!

Inapata miezi kama saba sasa tangu niachane na mpenzi wangu niliyemzoeaga sana niliyekuwa naye kwa kipindi cha miaka sita! Mwaka wa sita na wa mwisho ulikuwa mbaya sana kwetu ilopelekea mwezi wa mwezi wa 02/2020 uhusiano wetu kugonga mwamba. Nikapitia maumivu makali mnooo sikudhani hata kama nitafika hii leo. Na sasa nimebakiwa na hofu je ipo siku nitamsahau kabisa? Haitaniaffect kwenye mahusiano mengine hasa ya ndoa?

Sasa naomba sana kwa wale waliowahi kupitia extreme pain and heart breaks kutokana na mahusiano kuvunjika tafadhali waniambie experience yao! Je, walifika muda hayo maumivu kuisha kabisa? Hata walioko kwenye ndoa haijawahi kuwaathiri? Ilichukua muda gani hiyo hali kuisha kabisa? Iliisha baada ya kufanya nini?

NB: Ilishindikana kureconcile kabisa, ilikuweka mambo sawa.

Natanguliza shukrani zangu! Asante.
Kumbe ww ni ke ngj nifute comment
 
Kuna mwanamke nliyempenda sana na tumeishi miaka mitano sasa,tumezaa mtoto wa kiume,,ana miaka minne,,kiukweli amenichanganya sana baada ya yeye kupata kazi benk,siku hizi hapokei hata simu yangu,,tunakaa mbali mbali kidogo mkoa na wilaya...yeye yuko mkoani mimi niko wilayani..kwa kweli amekuwa mwiba na tangu mwez wa kwanza mwaka huu mpka sasa hataki mawasiliano....nimelia,nimegaragara hajanielewa...kwa kweli nlikutana na mkenya mwenzangu aliyeteswa na mapenzi kama mimi,,akanishaur kuhusu sigara.....nikaachana na pombe now navuta sigara na najiona mwenye nafuu,,nmeweza kumsahau kwa habar ya mapenzi..sigara imekuwa mbadala wake...sikuwahi kuwaza kuvuta embassy ila kanivutisha....usilaumu mtu kilevi atumiacho au starehe anazofanya maana huwez jua anapitia yapi....nampenda sana ila niko tayar asepe sasa..moyo umekubali
 
Kuna mwanamke nliyempenda sana na tumeishi miaka mitano sasa,tumezaa mtoto wa kiume,,ana miaka minne,,kiukweli amenichanganya sana baada ya yeye kupata kazi benk,siku hizi hapokei hata simu yangu,,tunakaa mbali mbali kidogo mkoa na wilaya...yeye yuko mkoani mimi niko wilayani..kwa kweli amekuwa mwiba na tangu mwez wa kwanza mwaka huu mpka sasa hataki mawasiliano....nimelia,nimegaragara hajanielewa...kwa kweli nlikutana na mkenya mwenzangu aliyeteswa na mapenzi kama mimi,,akanishaur kuhusu sigara.....nikaachana na pombe now navuta sigara na najiona mwenye nafuu,,nmeweza kumsahau kwa habar ya mapenzi..sigara imekuwa mbadala wake...sikuwahi kuwaza kuvuta embassy ila kanivutisha....usilaumu mtu kilevi atumiacho au starehe anazofanya maana huwez jua anapitia yapi....nampenda sana ila niko tayar asepe sasa..moyo umekubali

I feel you bro! Pole sana, sikujudge ila ungetafuta mbadala mwingine kama kuwa mtu wa ibada! Mfano mimi ilinibidi niokoke muda mwingi nilikuwa na sali hasa na kwenda kanisani, nikajifunza mengi! Nikajua kwanza nilikuwa mkosa kwahiyo nalipia gharama ya dhambi nilizozifanya labda. Yan nikapata sababu za kunisaidia kukubaliana na hali, na hapo ni baada ya kujaribu hata kuongea na wanasaikolojia! Nakushauri jikite na masuala ya kiroho zaidi!
Ila mwisho wa siku wazungu wanasema ‘the heart wants what it wants’
 
Yan nd maana siku hz ht kuish na mwanamke naogopa...!!maana mimi mwenyew nna Ex ht nmtukane vipi atanitfta tu...!!

Watu wengi huolewa kwa ajili ya maslah na umri ila mioyon mwao wanajua wenyew....!!asa ukute mume una kitambi Ex wake flat...!!nyumba yako...lkn atakuona kama mpangaji

Oh sijui itakuaje! Mungu atusaidie tuishie na tunaowapenda kweli licha ya kupitia maumivu kwa sasa.
 
Hahahaaa Mungu atajalia tu ndugu...!!ndo maana single mothers wapo wengi....reason ndo hyo...!!maEx
Oh sijui itakuaje! Mungu atusaidie tuishie na tunaowapenda kweli licha ya kupitia maumivu kwa sasa.
 
Yan nd maana siku hz ht kuish na mwanamke naogopa...!!maana mimi mwenyew nna Ex ht nmtukane vipi atanitfta tu...!!

Watu wengi huolewa kwa ajili ya maslah na umri ila mioyon mwao wanajua wenyew....!!asa ukute mume una kitambi Ex wake flat...!!nyumba yako...lkn atakuona kama mpangaji
Oa mkuu
Acha kukimbia majukumu
 
Skiliza wimbo wa leona Lewis - better in time ukiwa na safari lager . Bonge la kiburudisho kwa watanzania
 
I feel you bro! Pole sana, sikujudge ila ungetafuta mbadala mwingine kama kuwa mtu wa ibada! Mfano mimi ilinibidi niokoke muda mwingi nilikuwa na sali hasa na kwenda kanisani, nikajifunza mengi! Nikajua kwanza nilikuwa mkosa kwahiyo nalipia gharama ya dhambi nilizozifanya labda. Yan nikapata sababu za kunisaidia kukubaliana na hali, na hapo ni baada ya kujaribu hata kuongea na wanasaikolojia! Nakushauri jikite na masuala ya kiroho zaidi!
Ila mwisho wa siku wazungu wanasema ‘the heart wants what it wants’
Mkuu nashukur nlijarib hayo ila nikawa silali,sili,yaani nmepungua mwili mpka kazin wananishangaa nawaambia tuu ninmambo ya diet lkn kiukwel nlikuwa kwenye mateso makubwa mno.baada ya kuishi kwa mateso huwez amin sigara imeniweka sawa......nalala kama pono..simuwazi tena....ila sigara hiz navuta usiku tuu na hakuna anayenijua zaid ya anayeniuzia....
 
‘atakayeingia anga zako ndiye atakayeumia’usilipize visasi boss! Love is a beautiful thing naamini tunapitia maumivu ili tuwe imara zaidi

Sio kwa wanawake wa kibongo, nimejaribu nimeshindwa
 
Back
Top Bottom