gwamipascal
Member
- Mar 28, 2020
- 15
- 23
Namaanisha hivi...
Mim sikufanikiwa kuhitim form four niliishia form three kutokana na ishu za uchumi. Lakini kutokana na uwezo wangu ulikua mzuri kiakili yaani sikua kilaza. Baada ya kupata kibarua kiwandan nilifanikiwa kujilipia technical college pale techno brain(Dar es salaam) ambako wao hawako chin ya nacte hivyo wana utaratibu wao wa kutoa training hata kama ni la saba kma unajimudu unasoma unafanya mitihan ukifaul unapata gamba husika.
Mim nilisoma pale level ya diploma(kwa mtaala wao sio nacte) ina IT. then nika endelea na professional coz za CCNA, CCNP na ITIL. Sasa naomba wazoefu wanishaur uwezekano wa kupata ajira kwenye makampuni upo kwa level yang. Mana ajira nying au zote wanataka uwe na chet cha form four.
NB ukiachana na ishu ya chet cha O level ambacho sina ila nina uwezo mzur sana wa kufanya kazi za IT( networking and security, database)
Ahsanten. Nawasilisha
Mim sikufanikiwa kuhitim form four niliishia form three kutokana na ishu za uchumi. Lakini kutokana na uwezo wangu ulikua mzuri kiakili yaani sikua kilaza. Baada ya kupata kibarua kiwandan nilifanikiwa kujilipia technical college pale techno brain(Dar es salaam) ambako wao hawako chin ya nacte hivyo wana utaratibu wao wa kutoa training hata kama ni la saba kma unajimudu unasoma unafanya mitihan ukifaul unapata gamba husika.
Mim nilisoma pale level ya diploma(kwa mtaala wao sio nacte) ina IT. then nika endelea na professional coz za CCNA, CCNP na ITIL. Sasa naomba wazoefu wanishaur uwezekano wa kupata ajira kwenye makampuni upo kwa level yang. Mana ajira nying au zote wanataka uwe na chet cha form four.
NB ukiachana na ishu ya chet cha O level ambacho sina ila nina uwezo mzur sana wa kufanya kazi za IT( networking and security, database)
Ahsanten. Nawasilisha