Juliana Shonza
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,009
- 1,607
- Thread starter
- #61
Maria ni chama gani..?Maria Sarungi ali declare kabla YA KUSHIRIKI KULETA UTAFITI WA TWAWEZA ni sisi?
Maria ni chama gani..?Maria Sarungi ali declare kabla YA KUSHIRIKI KULETA UTAFITI WA TWAWEZA ni sisi?
Kwani Saanane ni msemaji wa Chadema..ama anaongea kama nani kwenye CHADEMA..???kwa mujibu wa chadema kupitia kwa SAANANE Kwa tafiti hizi za mwisho wa mwezi sept hakuna hata moja iliyokubaliwa na CHADEMA,.sasa kama yeye ni chadema na kahusika katika kupika tafiti amekataliwa,na kama TWAWEZA wamepika tafiti iwapendelee CCM nao wamekataliwa pia.
Kijani kibichi pamoja na wewe. Unajifanya hujui au unajificha kwenye koti?Maria ni chama gani..?
Kiukweli tulikuwa tunaidharau jf, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya, yamesaidia saidia, huwezi jua!. Zamani nilikuwa napitia mabandiko yako kwa dharau na kujibu kwa kejeli, lakini baada ya uteuzi, sasa napitia mabandiko yako yote kwa makini zaidi, heshima na adabu haswa kwa kuzingatia wewe sasa ndio bosi wangu kwenye tasnia ya habari.
Mtafiti akiwasilisha matokeo ya Utafiti wake kwa WATANZANIA....
Baada ya kumaliza kuwasilisha matokeo ya Utafiti wake kwa watanzania AKIJIPONGEZA...
Dah basi ndio hivyo WADAU.....next time jaribuni kuwa "smart" kidogo ili sinema yenu iwe na uhalisia kidogo...au script aliandika Wolper..??