Bingwa wa hoja
Member
- Oct 21, 2010
- 23
- 0
Wapo wapi mashujaa na viongozi waliosoma Ilboru special school pale Arusha? inauma sana shule hii inavyozidi kuporomoka kitaaluma just imagine mpaka leo wanafunzi wa ilboru hawajaanza kujifunza computer...........naililia ilboru