Kila unachojiunga andika inabidi kabla ya kuandika uchukuwe mda kido kukifikiri na wewe uvae kuhusika ndiyo aliyetumiwa/chafuliwa.Sote ni Watanzania tusidhalilishane kisa siasa.Kumbuka lolote unalo mtendea Baba/Mama wa mwezako ujue siku moja nawe Baba/Mama yako atatendewa au nawe ukiwa Mzee atatendewa.
Nilitegemea tcra wafanye kazi yao
Ni kweli ulisemalo mkuu, si vizuri kumdhalilisha huyu jamaa kwa maladhi yake,,, lakini angalizo moja kwa wanaukawa, tukimkumbuka ZZK alivyokuwa akiwahasa wanaukawa juu ya siasa za propaganda ambazo walizianza wao wenyewe, tumeona mara kwa mara JK alivyozalilishwa pia mara kwa mara na wanaukawa natukawa tunashangilia lakini JK alivumilia sana kwenye haya hivyo EL naye hana budi kuvumilia,, MAGUFURI alizomewa na kakikundi cha watu mbeya hatukukemea, na tukaona sawa tu..
Nimesikitishwa sana na tukio hili la kuedit pampass na kuweka picha ya Mh Lowassa akiwa amevaa pampass.
Mimi si shabiki wa Lowassa lakini napenda kuheshimu utu wa mtu haijalisha kwako hana thaman.
Huyu ni baba mwenye watoto wakubwa na mke pengine na wajukuu(sijui) fikiria familia yake inaumia kiasi gani juu ya hili? Au wewe ndo ungekuwa yy ungefanyaje?
Hujafa hujaumbika,Mungu si Athuman leo wajiona mzima au bora kesho yako huijui,tufikie hatua tufanye kampeni za kistaarabu na si kutoana thaman kiasi hiki.
Namaanisha kwamba siasa ni mchezo mchafu...practically kwa waswahili...
Ukiingia kwenye siasa kubali kuchafuliwa
..siasa za maji taka...
Hivyo nanyie react against...kwani mliyaanza wenyewe sasa yamewageukia...take it easy...
Angekuwa ni Mkulu au Mkuu fulani Serikalini, Ungesikia jeshi la polisi linawasaka wahusika wahusika!!
Si mbaya, hata YESU KRISTO alidhihakiwa hivyohivyo!
Nyie ni washenzi wa kiwango cha juu..Mkapa hakukosea. Mara ngapi mme..edit picha za kumkashifu na kumdharirisha Rais wetu, leo mnakuja kulia lia humu.
Mnajifanya kuwa na busara kumbe wapuuzi wakubwa, nyie ndio mabingwa wa matusi kwenye mitandao ya kijamii hadi mnafikia kuimba nyimbo za kumtukana Rais na familia yake.
Namaanisha kwamba siasa ni mchezo mchafu...practically kwa waswahili...
Ukiingia kwenye siasa kubali kuchafuliwa
..siasa za maji taka...
Hivyo nanyie react against...kwani mliyaanza wenyewe sasa yamewageukia...take it easy...
Kaingia mwenyewe kwenye chandimu!
Ni kweli ulisemalo mkuu, si vizuri kumdhalilisha huyu jamaa kwa maladhi yake,,, lakini angalizo moja kwa wanaukawa, tukimkumbuka ZZK alivyokuwa akiwahasa wanaukawa juu ya siasa za propaganda ambazo walizianza wao wenyewe, tumeona mara kwa mara JK alivyozalilishwa pia mara kwa mara na wanaukawa natukawa tunashangilia lakini JK alivumilia sana kwenye haya hivyo EL naye hana budi kuvumilia,, MAGUFURI alizomewa na kakikundi cha watu mbeya hatukukemea, na tukaona sawa tu..
Shame On You! Teh Teh Teh!
Yan we ndo bora hata jf ujitoe tu, maana nothing u tell us which is pointfull but all you tell us are pointless. stak kubshana na mwenye mbwa nipe mbwa kama ww nibishane nae.
Nimesikitishwa sana na tukio hili la kuedit pampass na kuweka picha ya Mh Lowassa akiwa amevaa pampass.
Mimi si shabiki wa Lowassa lakini napenda kuheshimu utu wa mtu haijalisha kwako hana thaman.
Huyu ni baba mwenye watoto wakubwa na mke pengine na wajukuu(sijui) fikiria familia yake inaumia kiasi gani juu ya hili? Au wewe ndo ungekuwa yy ungefanyaje?
Hujafa hujaumbika,Mungu si Athuman leo wajiona mzima au bora kesho yako huijui,tufikie hatua tufanye kampeni za kistaarabu na si kutoana thaman kiasi hiki.